PAMOJA NA GSM kumwaga hela YANGA wanachukua tena Ubingwa

PAMOJA NA GSM kumwaga hela YANGA wanachukua tena Ubingwa

Ujinga ni pale mtu anapokosa ushindi anatafuta sababu za kijinga. Eti Yanga anahonga timu zinazocheza na Simba, sasa hapa wewe unaona kuna Logic?

Simba aliyefungwa na Yanga nae alihongwa Tsh ngapi?

Mna shida sana makolokocho. Mara Yanga anahonga team pinzani, mara hamumtaki Matola nyie kwenu jema ni lipi aisee. Wewe kwa akili yako finyu, kama mnakosa ubingwa sababu Yanga anahonga timu pinzani zenu kwanini mnafukuza makocha? Ni kuwa mnawafukuza sababu timu ni mbovu. Sasa hapa Yanga anaingiaje.

Makolokocho tulieni. Jengeni timu yenu ya uongozi ili ijenge timu ya uwanjani
 
Ujinga ni pale mtu anapokosa ushindi anatafuta sababu za kijinga. Eti Yanga anahonga timu zinazocheza na Simba, sasa hapa wewe unaona kuna Logic?

Simba aliyefungwa na Yanga nae alihongwa Tsh ngapi?

Mna shida sana makolokocho. Mara Yanga anahonga team pinzani, mara hamumtaki Matola nyie kwenu jema ni lipi aisee. Wewe kwa akili yako finyu, kama mnakosa ubingwa sababu Yanga anahonga timu pinzani zenu kwanini mnafukuza makocha? Ni kuwa mnawafukuza sababu timu ni mbovu. Sasa hapa Yanga anaingiaje.

Makolokocho tulieni. Jengeni timu yenu ya uongozi ili ijenge timu ya uwanjani
Yanga wanaingia kwenye sababu ya kufukuza makocha wetu kwasababu JIIESIEMU anawahonga makocha wetu wasifundishe vizuri.
 
MAONI YANGU ninavyoona SIMBA inacheza lakini pia wapinzani wa SIMBA wanavyokamia. Punguza Matusi mzee hii dunia ni ya furaha usiwe na makasiriko sana
Sawa mzee! but unakumbuka msimu wa juzi simba akiwa na morison! bwalya! chama! kagere n boko on fire! luis na deo kanda? pamoja na uto le mkunungu kuwa na wavuta bangi kina mo banka na adeyum, simba alivuna points ngapi dhidi ya uto?
 
Back
Top Bottom