binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Si ndio!?? Mimi mtu atakayeniacha nitaendelea kuongea na ndugu zake, kaniacha yeye ndugu zake hawajaniacha š¤£Endelea kuongea na mama yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio!?? Mimi mtu atakayeniacha nitaendelea kuongea na ndugu zake, kaniacha yeye ndugu zake hawajaniacha š¤£Endelea kuongea na mama yake.
Kawe tour guide basiMse ni kifupi cha Msendema huyu ni wanawake wangu tulioishi nae miaka 8, nilimpenda sana na nilifanya juhudi sana kufahamu lugha ya kwao kisandawe na hii ni sababu ya yeye kuwa na mazoea ya kuongea na mama yake kwa kikwao kila siku na akiongea lazima hunipa simu nimsalimie basi niliadhimia nijifunze lugha yao ili mambo yawe safi si umnajua ukipenda ua penda na boga lake niliweza vizuri tu na nikawa pia namsalimia mama yake kwa lugha yao
Sasa last week ameniacha tena ameniacha vibaya sana issue sio kuachwa hapa issue ni hii lugha niliyojifunza nawaza nitakuwa naongea na nani!
"mse Mungu anakuona"
View attachment 2939024
Unafukarisha wanaume wewe. Ukifanya hivyo mwanamke atakudharau kwa kukuona hayawaniIf you want your woman to respect you,do the following
1.Give her money
2.Always giver her money
3.Dont go out without giving her money
4.Dont talk a lot ,give her money
5.If money finishes go and borrow more money and giver her.
Hapo sasa itabidi umtafute mwanamke mwingine wa kisandawe umsemeshe kwa lugha yao atakuelewa vizuri.Tahadhari hawa nao ni wale wanaodumisha mila kwa hiyo usitegemee kama wewe si msandawe kuweza kuruhusiwa mumuoa binti wa kisandawe.Hiyo Lugha fanya kuongea peke yako!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue