johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watakwambia Polisi wanatekeleza Katiba Mpya π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺTunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi
Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!
Mlale unono!
Watatandikwa kama last time, Dunia itaona na haitafanya kitu ππππLakini watayafanya wawapige risasi dunia ione
Tutafute pesa ndo la msingi.Watatandikwa kama last time ,Dunia itaona na haitafanya kitu ππππ
Katiba Mpya ni scarm I have been telling you,tafuta pesa tuu ndio walau kuna unafuu.
Tena Kwa njia zote,ujue hata ukikamatwa na nyara za serikali kama ni pesa ndefu utatoka hata baada ya miezi 6 na Biashara inaendelea.Tutafute pesa ndo la msingi.
Unayajua madaraka vizuri? Kamuulize Macky Sall wa Senegal au Alasane Qwatra wa Code VoireTutakapopata katiba mpya tusichague wapinga katiba mpya kama Ruto kutuongoza.
Akili za kutokuelewa na kukata tamaa hizi, go educate yourself and grow some balls, nchi ya wote hii sio wengine kwa sababu ya vyeo wanapewa kinga za mashtaka na kufanya wanavyotaka, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa soft namna hiyo, na source kubwa ya umaskini wa nchi ni uvunjaji wa haki na makatiba mabovu kama tuliyonayo, unaongeaga big game kwenye uchumi lakini unasahau pasipo na haki ni umaskini mtupu, Katiba mpya kwanza kama huelewi usione aibu kuulizaWatakwambia Polisi wanatekeleza Katiba Mpya π€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ
Ndio maana nawaambia wanaohangaika na Katiba Mpya wasidhani kwamba itawaletea ugali mezani Wala kubadili Hali ya maisha Yao..
Kinachoitwa Katiba Mpya ni faida Kwa Wanasiasa ambao Wala hawako concerned na maisha ya watu ila wanafanya maigizo coz watu wengi ni wajinga..
Tafuteni Katiba Mpya at your own risk ila has nothing to do with your welfare na Wala haitasababisha Mahakama au Polisi kuacha kupokea rushwa..
Huna pesa utaendelea ku toil.
Nikate tamaa na jambo gani hasa?Akili za kutokuelewa na kukata tamaa hizi, go educate yourself and grow some balls, nchi ya wote hii sio wengine kwa sababu ya vyeo wanapewa kinga za mashtaka na kufanya wanavyotaka, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa soft namna hiyo, na source kubwa ya umaskini wa nchi ni uvunjaji wa haki na makatiba mabovu kama tuliyonayo, unaongeaga big game kwenye uchumi lakini unasahau pasipo na haki ni umaskini mtupu, Katiba mpya kwanza kama huelewi usione aibu kuuliza
Ujue yupo atakaye wajibikaTunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi
Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!
Mlale unono!
Kumbe na wewe i hao hao! Block!Watatandikwa kama last time ,Dunia itaona na haitafanya kitu ππππ
Katiba Mpya ni scarm I have been telling you,tafuta pesa tuu ndio walau kuna unafuu.
Hao hao kina nani?Kumbe na wewe i hao hao! Block!
Kama huoni au hujui umuhimu wa katiba mpya, go educate yourself and stop passing wrong informationNikate tamaa na jambo gani hasa?
Kama una pesa utafanya unavyotaka na hakuna wa kukugusa.
Unasikitisha Bwashee,Katiba Mpya ni pesa ,huko South Africa Kuna Katiba ila they are living in meserable lifeKama huoni au hujui umuhimu wa katiba mpya, go educate yourself and stop passing wrong information