Pamoja na Katiba Mpya Kenya, Polisi wapiga marufuku Maandamano. CHADEMA jifunzeni kitu Hapo!

Pamoja na Katiba Mpya Kenya, Polisi wapiga marufuku Maandamano. CHADEMA jifunzeni kitu Hapo!

Hata chanzo cha maandamano yenyewe ni kupanda kwa gharama za maisha wakati makuwadi wa katiba mpya bongo wanaaminishi watu katiba mpya ni muarobaini.
 
Katiba nzuri + watu wenye uzalendo =100%
katiba nzuri + watu wenye njaa =hamna kitu mnatibu
Alafu kuna watanzania watu wasiojua wanataka nini katiba yenyewe mpaka waombewe na wanasiasa hata hii ya sasa inavunjwa hakuna mtu anashugulika nayo wala kujali wasio taka kusumbuka na matatizo ya nchi yao kila kitu wao n sawa hata ije katiba mpya kwa hii nchi watafaidi wanasiasa tu
 
Watakwambia Polisi wanatekeleza Katiba Mpya [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Ndio maana nawaambia wanaohangaika na Katiba Mpya wasidhani kwamba itawaletea ugali mezani Wala kubadili Hali ya maisha Yao..

Kinachoitwa Katiba Mpya ni faida Kwa Wanasiasa ambao Wala hawako concerned na maisha ya watu ila wanafanya maigizo coz watu wengi ni wajinga..

Tafuteni Katiba Mpya at your own risk ila has nothing to do with your welfare na Wala haitasababisha Mahakama au Polisi kuacha kupokea rushwa..

Huna pesa utaendelea ku toil.
Punguza ujinga.Kama hujui faida ya katiba bora wewe huna faida yoyote duniani.
 
Mimi naamini kabisa tunahitaji Katiba Mpya, ila Katiba Mpya sio kila kitu, nyie CHADEMA msiwaaminishe wafuasi wenu huo uongo.

CHADEMA karibu 90%+ wanafikiria Katiba Mpya itawapatia kila kitu, yaani itawapa

1: CHAKULA
2: MVUA
3: MAANDAMANO KILA SIKU
4: FEDHA
5: UONGOZI BORA SANA
6: UTAJIRI MKUBWA
7: UHURU WA KILA KITU
8: KUFANYA WATAKAVYO
9: KUAGA UMASKINI
10: KUWA NCHI YA MAZIWA NA ASALI.

Hivi CHADEMA, mmechanganyikiwa nn? Katiba Mpya mkipata nyie mnajua ndio kila kitu ndio KITAKUJA TOKA WAPI SIJUI, AU MKAJUA VITU VITAKUJA TOKA MBINGUNI BURE BURE TU.

CHADEMA, acheni kuwaaminisha wafuasi wenu kuwa Katiba Mpya ndio kila kitu, sio kweli, hapana, Katiba ni Sheria tu kama nyingine, unaweza kuwa na Katiba nzuri sana, ila shida na matatizo, njaa, umaskini, rushwa, ujinga na elimu mbovu sana iko pale pale..!!
 
Mbona Nchi nyingi hazina hizo Katiba Mpya na mambo ni bambam?

Egypt Ina Katiba kama hizo zenu? Kipi mnaizidi?China Je?

Acha upuuzi wako
Wewe ndo uache ujinga.unadhani hizo nchi zimeshushwa toka mbinguni zikawa hivyo zilivyo.Ukiona jambo zuri jua halikuja kama ndoto,kuna watu walilipambania.wewe kama hauko kwenye kundi la watu wakuliweka hili taifa lije kua mfano uko mbele kama ambavyo unatoa mifano kwa nchi zingine kaa utulie wenye akili wafanye.
 
Mimi naamini kabisa tunahitaji Katiba Mpya, ila Katiba Mpya sio kila kitu, nyie CHADEMA msiwaaminishe wafuasi wenu huo uongo.

CHADEMA karibu 90%+ wanafikiria Katiba Mpya itawapata kila kitu, yaani itawapa

1: CHAKULA
2: MVUA
3: MAANDAMANO KILA SIKU
4: FEDHA
5: UONGOZI BORA SANA
6: UTAJIRI MKUBWA
7: UHURU WA KILA KITU
8: KUFANYA WATAKAVYO
9: KUAGA UMASKINI
10: KUWA NCHI YA MAZIWA NA ASALI.

Hivi CHADEMA, mmechanganyikiwa nn? Katiba Mpya mkipata nyie mnajua ndio kila kitu ndio KITAKUJA TOKA WAPI SIJUI, AU MKAJUA VITU VITAKUJA TOKA MBINGUNI BURE BURE TU.

CHADEMA, acheni kuwaaminisha wafuasi wenu kuwa Katiba Mpya ndio kila kitu, sio kweli, hapana, Katiba ni Sheria tu kama nyingine, unaweza kuwa na Katiba nzuri sana, ila shida na matatizo, njaa, umaskini, rushwa, ujinga na elimu mbovu sana iko pale pale..!!
Ilo unasema wewe.Acha kuweka mawazo yako kwenye vichwa vya watu wengine ambani ni smart kuliko wewe.
 
Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi

Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!

Mlale unono!
Tofauti ni kubwa sana , kwani Zanzibar bado imekaliwa kwa mabavu na Tanganyika
 
Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi

Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!

Mlale unono!
Mkuu Yohane,
Dikteta hata ungeweka msaafu na Bibilia, udikteta haumtoki.
Ujifunze na wewe kitu hapo
 
Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi

Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!

Mlale unono!

Umeona leo? Wameenda mahakamani kupata katazo, mahakama ikagoma.... Be informed before display your ignorance
 
Back
Top Bottom