johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Ulitaka niteseke na CHAUMA?Naona unateseka sana na CHADEMA.
Hauna mambo ya kuandika zaidi ya CHADEMA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka niteseke na CHAUMA?Naona unateseka sana na CHADEMA.
Hauna mambo ya kuandika zaidi ya CHADEMA?
Katiba mpya ya kweli ni wananchi wengi wa Tanzania kuwa na elimu nzuri na uelewa wa haki zao. Acha Kenya hata huko Marekani na katiba yao bado Sheria hizo hizo zinampendelea mzungu na kumkandamiza mmarekani mweusi hadi aingie barabarani. In short suala siyo tu katiba bali jamii.Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi
Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!
Mlale unono!
Kwani Katiba Mpya ni kwa ajili ya Chadema tu? Kama nchi inaongozwa vizuri maandamano ya nini tena? Jo wewe unaiwaza Chadema tu 24/7.Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi
Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!
Mlale unono!
Itafute wewe ambaye huna sisi tayari tunazoTutafute pesa ndo la msingi.
Tunavyoiendea Katiba Mpya tujifunze kwa wenzetu waliotangulia kuzipata ili ya kwetu iwe bora zaidi
Mfano hapo Kenya pamoja na Katiba Mpya bado polisi wamezuia Maandamano ya kesho sasa Wana tofauti gani na Tanzania yenye Katiba ya zamani!!
Mlale unono!
[/QUOTE
Ni kujitoa ufahamu tu; hii mifumo ya kikatiba, siasa na demokrasia siyo universal. Kila nchi ina historia yake. Pili, duniani kote hata huko wanakoamini kuna demokrasia ya juu hakuna uhuru wa siasa za uasi. Maelfu ya watu mnataka kwenda Ikulu kufanyaje? Wajifunze pia maandamano kuelekea Capitol Hill, US mbona hadi leo jinai inaendelea! Development as freedom; siyo kutumia uhuru kufanya jinai bali ni kutumia uhuru kuleta maendeleo kiuchumi, kijamii, kisiasa na kuwa huru kufikiri chanya. 🙏🙏🙏
Sukuma Gang ni wapumbavu sanaKumbe na wewe i hao hao! Block!
Hahaha.. hii comment imenifanya nitafakari sana Kuna watu humu wana mitaji ya B + halafu unakuta mtu anaingiza laki anamshauri atafute pesa.Itafute wewe ambaye huna sisi tayari tunazo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tunataka katiba mpya ila tunatazama sana kwenye kutupa uhuru wa kusiasa zaidi.
Huoni katiba katiba mpya inamuwajibisha mtu aliyeivunja hata atakapotoka madarakani?Hakuna Cha tofauti Mzee, principal ni zile zile na wanaosimamia utekelezaji ni watu Hawa Hawa wa Leo na kesho wanaotaka madaraka na pesa..
Don't exaggerate mambo au kuwa na matumaini makuubwa ambayo hayawezi tokea.
Inamuwajibishaje? Hata hii ya Sasa ukitoa Kinga inawajibisha tuuHuoni katiba katiba mpya inamuwajibisha mtu aliyeivunja hata atakapotoka madarakani?
Hii iliyopo mtu hawajibishwi hata atakapotoka madarakani. Huoni hilo kama ni tatizo?
Katiba mpya na imara inamfanya mtu anayetaka kuivunja ajitafakari mara mbili mbili endapo atakuwa nje ya mamlaka nini kitamtokea?
Katiba mpya ni mwarobaini wa mambo mengi ya nchi unless kama hujasoma masuala ya constitutional law huwezi kuelewa namna gani ubovu ama uimara wa katiba unavyoweza kubadilisha ustawi wa nchi ama kuididimiza nchi.
Kumbe angalau atatumia mbinu ya siri kabisa kuliko kuwa na katiba mbovu ambayo atafanya atakavyo hadharani.Bob aliwaambia kuwa na Katiba Mpya ni jambo Moja na kuitekeleza ni jambo jingine..
Mfano Rais anamiliki Central Intelligence Unit ambao huwezi kuwajua akitaka kumshinikiza Spika au Jaji anaweza na ushahidi hakuna maana anawatumia hao hao Jamaa kuwatisha hawataki wanakufa kweli..
Mpaka hapo Katiba zenu zinakuwa zimewasaidia nini?
Hakuna anayefanyaga hadharaniKumbe angalau atatumia mbinu ya siri kabisa kuliko kuwa na katiba mbovu ambayo atafanya atakavyo hadharani.
Basi bado hitaji la katiba mpya ni muhimu sana kwa muktadha huo.
Waulize wanaopinga katiba mpya wanahofia nini ndo utajua umuhimu wake.
Rais kumwagiza Spika awafukuze wabunge wa upinzani bungeni wanaotoa hoja za kui challenge serikali ili awashughulikie na Spika akatii maagizo huoni ni ubovu wa katiba usioupa nguvu kamili muhimili wa mahakama?Hakuna anayefanyaga hadharani
Kwani ni kosa la Rais? Yeye Spika hajui majukumu yake?Rais kumwagiza Spika awafukuze wabunge wa upinzani bungeni wanaotoa hoja za kui challenge serikali ili awashughulikie na Spika akatii maagizo huoni ni ubovu wa katiba usioupa nguvu kamili muhimili wa mahakama?
Rais kuupangia muhimili wa mahakama kwamba majaji hakuna kusafiri nje ya nchi kwenye likizo zao halali tena anatamka hadharani huoni ni ubovu wa katiba ndo mwanya wa kuagiza yote haya?Hakuna anayefanyaga hadharani
Rais aliyasema hayo alipoona kuna mwanya wa yeye kusema hivyo na hakuna wajibu wa katiba unaombana.Kwani ni kosa la Rais? Yeye Spika hajui majukumu yake?
VisingizioRais aliyasema hayo alipoona kuna mwanya wa yeye kusema hivyo na hakuna wajibu wa katiba unaombana.
Inaonekana wewe ni layman kwenye masuala ya katiba na sheria za nchi hii.
Katiba hii ina mapungufu makubwa mno hadi unajiuliza walioitunga walikuwa na elimu walau darasa la saba tu?
Rais amepewa madaraka na kinga hadi ya kutoshtakiwa kwa makosa ya jinai yoyote aliyofanya ama atakayofanya akiwa madarakani.
Je, hadi hapo huoni ni mwanya wa kufanya atakavyo hata kama anavunja haki za binadamu kwa maksudi?
Wewe unahitaji kupewa elimu kuhusu umuhimu wa katiba mpya na jinsi itakavyochangia kukuza pato la mtu mmoja mmoja na taifa kwa ukumla.