Pamoja na Kipigo Kitakatifu cha Tunisia nauliza Utambulisho wa Jezi za Yanga SC haukuhusisha na Bukta zao?

Pamoja na Kipigo Kitakatifu cha Tunisia nauliza Utambulisho wa Jezi za Yanga SC haukuhusisha na Bukta zao?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Rejea kuangalia Jezi za Yanga SC za Leo ilizotumia Kucheza na US Monastir ya nchini Tunisia utagundua kuwa Kilichotambulishwa ni Jezi za Juu ( Shati ) tu za Mdhamini Haier ila Bukta zilizotumika ni zile zile za Siku zote zilizotambulishwa mwanzo wa Msimu.

Huu ni Uhuni ambao kamwe haupaswi kufanywa na Klabu inayojipambanua kuwa ni Kubwa na Bingwa nchini Tanzania.

Huenda Laana ya Sport Pesa imechangia Kipigo cha leo na hupenda Laana hii ikaendelea mpaka Jumapili ijayo wakicheza na TP Mazembe FC ambayo leo imemfunga Real Bamako Goli takatifu nzuri 3 - 1 huko Kwao Congo DR.
 
Bukta ya Jezi ya ligi kuu na ya leo tofauti sana ya ligi bukta ya kijani ina ufito ya njano umezunguka chini .
 
Rejea kuangalia Jezi za Yanga SC za Leo ilizotumia Kucheza na US Monastir ya nchini Tunisia utagundua kuwa Kilichotambulishwa ni Jezi za Juu ( Shati ) tu za Mdhamini Haier ila Bukta zilizotumika ni zile zile za Siku zote zilizotambulishwa mwanzo wa Msimu.

Huu ni Uhuni ambao kamwe haupaswi kufanywa na Klabu inayojipambanua kuwa ni Kubwa na Bingwa nchini Tanzania.

Huenda Laana ya Sport Pesa imechangia Kipigo cha leo na hupenda Laana hii ikaendelea mpaka Jumapili ijayo wakicheza na TP Mazembe FC ambayo leo imemfunga Real Bamako Goli takatifu nzuri 3 - 1 huko Kwao Congo DR.
Yaani ukishiba tu kande unafungua uzi
 
Back
Top Bottom