Pamoja na kucheza na vibonde, Yanga yashindwa kuvunja rekodi za Simba na Pamba

Pamoja na kucheza na vibonde, Yanga yashindwa kuvunja rekodi za Simba na Pamba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
 
Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na kiroho safi ikawapa mastar wake watatu, yaani eeeeh chukueni, lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawapa mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Mnashindwa kujua mapato na matumizi ya club yenu hata mkutano mkuu kama utakuwepo lini lakini mnaijua historia ambayo haiwezi kubadilisha timu ikafanya vizuri kwasasa wala ikasaidia kujua mapato na matumizi ya club ambayo inaendeshwa kama familia na hiyo timu ya historia haiwezi kucheza tarehe 19-10-2024, NBC premier league na michezo ya shirikisho ya mwaka huu
 
Tangu game one hadi Sasa itoshe kusema vitalo sio team mbaya tena inacheza kwa mahesabu mazuri pengine kuliko hata Simba
Back in topic hii ndio team yanga wamefunga magoli mengi zaidi kwa mizunguko miwili ikifatiwa na Simba msimu uliopita
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawapa mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Lol! Nilisubiri sana thread yako ya kutuinua, na hatimaye imekuja. Hapa umesema kweli kabisa, kwa kuwa soka ni about records.

Ukicheza bila kuweka records ni kama umecheza tu kwa ajili leo, na hakuna historia yoyote unaweka. Mkuu, umesema kitu kikubwa sana.

B... Nifah ukipata muda pitia hapa kuna thread ya jamaa yuleyule mwenye fikra za mbali sana.

Ova
 
Lol! Nilisubiri sana thread yako ya kutuinua, na hatimaye imekuja. Hapa umesema kweli kabisa, kwa kuwa soka ni about records.

Ukicheza bila kuweka records ni kama umecheza tu kwa ajili leo, na hakuna historia yoyote unaweka. Mkuu, umesema kitu kikubwa sana.

B... Nifah ukipata muda pitia hapa kuna thread ya jamaa yuleyule mwenye fikra za mbali sana.

Ova
Nikwambie b…? Mpaka nilitaka nifuatilie kama hujaanza kumfollow jamaa, naona anakukosha sana.

Hii thread niliiona, nikasema nitulie nione utareact vipi? Nimecheka mno.
 
Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na kiroho safi ikawapa mastar wake watatu, yaani eeeeh chukueni, lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!
Mbumbumbu katika moja na mbili. Hivi jamaa hujijuagi kama wewe ni Mbumbumbu? Sio lazima kuandika uzi humu, unazidi kutuonyesha uchi wa akili yako.

Jaribu kuficha uchi wa akili yako we mbumbumbu
 
Lol! Nilisubiri sana thread yako ya kutuinua, na hatimaye imekuja. Hapa umesema kweli kabisa, kwa kuwa soka ni about records.

Ukicheza bila kuweka records ni kama umecheza tu kwa ajili leo, na hakuna historia yoyote unaweka. Mkuu, umesema kitu kikubwa sana.

B... Nifah ukipata muda pitia hapa kuna thread ya jamaa yuleyule mwenye fikra za mbali sana.

Ova
Kuna record zilizo na mafanikio na record zilizo na mafanikio. Hiyo kufunga magoli mengi ni record isiyo na maana. Ukiingia kwenye klabu profile utakutana na neno "honours" hapo unakutana na records zenye maana ikiwemo mataji na n.k sio upuuzi wa kufunga magoli mengi.
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawapa mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Mpaka sasa Yanga imeshacheza na vibonde zaidi watatu akiwemo Kaizer Chiefs, Simba, Azam na Vital 'O'na hawa vibonde wote wamefungwa na Yanga
 
Hiyo timu ya vital'0 ni ya machokoraa. Mchezaji wa Kati anaenda kudaka mpira golini wanajitambua kweli!
Hawa je? View attachment 3078540
IMG_20240728_215122.jpg
 
Lol! Nilisubiri sana thread yako ya kutuinua, na hatimaye imekuja. Hapa umesema kweli kabisa, kwa kuwa soka ni about records.

Ukicheza bila kuweka records ni kama umecheza tu kwa ajili leo, na hakuna historia yoyote unaweka. Mkuu, umesema kitu kikubwa sana.

B... Nifah ukipata muda pitia hapa kuna thread ya jamaa yuleyule mwenye fikra za mbali sana.

Ova
Hao viumbe nawajua kama kiganja cha mkono wangu. Usiwaone wanafurahi hivyo, wazee wao wa mipango walikuwa na lengo wafikishe zile 7 ili waseme nao wamezifikia, imeshindikana tena kwa timu dhaifu. Mimi napiga hapo hapo utosini maana bado wanapumua 🤣😂🤣

I don't want peace.....
 
Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na kiroho safi ikawapa mastar wake watatu, yaani eeeeh chukueni, lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!
Tena sio kwenye preliminary
 
Back
Top Bottom