Pamoja na kucheza na vibonde, Yanga yashindwa kuvunja rekodi za Simba na Pamba

Pamoja na kucheza na vibonde, Yanga yashindwa kuvunja rekodi za Simba na Pamba

Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Simba kama Azam tu.
Mapeemaaaa tu nje dhidi ya Al Ahly Tripoli. Mapema mnooo.
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Nakuunga mkono. Mfano, kwa mechi mbili tu walizocheza moja msimu uliopota na moja msimu huu, matokea yanasomeka hivi;
Yanga 7
Simba 1

Yanga 10
Vital’O 0
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Muone huyu nae.
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Hizi Propaganda huwa zinawasaidia nini? Haya basi sawa Simba na Pamba ni bingwa wa Afrika. Kitu pekee cha kujivunia ni kubeba ubingwa hivi vingine ni matatizo ya afya ya akili tu.
 
Kumbe akili zake zilimwambia Yanga watakosa penati
Dakika ya 10 ya mchezo, tayari mko nyuma kwenye aggregate kwa goli 5-0 unaenda kufanya tukio lile, inafikirisha sana. Hata wenzako wanastahili kukulamba vibao.

Hivi ni kweli wale jamaa walimaliza wakiwa 8 uwanjani?
 
Dakika ya 10 ya mchezo, tayari mko nyuma kwenye aggregate kwa goli 5-0 unaenda kufanya tukio lile, inafikirisha sana. Hata wenzako wanastahili kukulamba vibao.

Hivi ni kweli wale jamaa walimaliza wakiwa 8 uwanjani?
Wakiwa 9 mwingine aliyetaka kumvua nguo ya ndani
 
Wakiwa 9 mwingine aliyetaka kumchojoa nguo ya ndani
Kwa Yanga hii ya "unaifungaje" inacheza na mtu 9 dhaifu tena tayari zilizo dhaifu halafu unaishia kupata goli 6, aisee nimesikitika sana.

Hivi Simba ingemshobokea msemaji wa Horoya au Galaxy hadi ikamnunulia suti halafu timu yao akaenda kula zile 7, maneno yangekuwaje hapa mjini? Si mpaka leo tungekuwa tunakumbusha hili jambo?
 
Kwa Yanga hii ya "unaifungaje" inacheza na mtu 9 dhaifu tena tayari zilizo dhaifu halafu unaishia kupata goli 6, aisee nimesikitika sana.

Hivi Simba ingemshobokea msemaji wa Horoya au Galaxy hadi ikamnunulia suti halafu timu yao akaenda kula zile 7, maneno yangekuwaje hapa mjini? Si mpaka leo tungekuwa tunakumbusha hili jambo?
Angalizo, uwanjani wachezaji huwa wanachukua tahadhari wasiumie , siyo mradi kucheza na kufunga pia kuto kufungwa, (clean sheet)
 
Embu tuweke kwanza pembeni rekodi za Simba za hivi karibuni, hivi kuna timu nchi hii ina historia ya kufunga magoli mengi mashindano ya Africa kama Pamba FC?

Unakuwaje na kikosi kama ulichonacho ukijipa matumaini ya kutwaa ubingwa wa Afrika msimu huu, unacheza na timu ambayo hadi msemaji wake hajielewi, wiki nzima mnamzungusha mji mzima kumnunulia suti, halafu unashindwa kuvunja rekodi ya Pamba ya miaka zaidi ya 30 iliyopita? Unaishia kuifunga tugoli tusita, ambazo hazifiki hata goli Simba walizozifunga timu ngumu kama Horoya na Jwaneng tena katika hatua ngumu zaidi ya makundi huku nao wakigombania kwenda robo fainali?

Kama umeshindwa kuifunga goli za kuvunja rekodi ya Pamba timu kama Vital'O ambao wapo wanazurura Kariakoo wìki 2 sasa, utaivunja kwa nani?

Yaani Pamba waliweka rekodi, wakashuka daraja, wakasota weeee huko chini, wamerudi ligi kuu bado kina Pacome na Mwamnyeto wanahaso kuvunja hiyo rekodi yao.

Simba imetoa dozi za sabasaba kama yale maonyesho, ikavunja kikosi kizima na ikawazawadia mastar wake watatu lakini bado kina Nzengeli na Aucho wanahangaika kufikisha goli 7 kwa tutimu tusiojielewa!

Halafu eti wanajiita "Galacticos". Inasikitisha sana.
Na hii ndo maana halisi ya utopwinyo
 
Back
Top Bottom