Pamoja na kung'ang'ana kuvaa jezi nyeusi wakiamini ndio ushindi lamba lamba wamepasuka

Pamoja na kung'ang'ana kuvaa jezi nyeusi wakiamini ndio ushindi lamba lamba wamepasuka

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Kuna kaujinga fulani kanaenezwa na wajingawajinga fulani hivi kuwa yanga akivaa jezi nyeusi ndio anashinda na asipovaa basi ashindi.

Azam leo wamekataa katakata kuvaa jezi zao za nyumbani wakavaa jezi za ugenini wakiamini yanga inapata magoli kupitia jezi nyeusi ni upuuzi wa hali ya juu kabisa.

Yanga hawa wamebeba ubingwa wakiwa wamevaa sana jezi za kijani sasa sijui hii imani ambayo timu nyingi kwa sasa zinazokuja kucheza na yanga zinaitoa wapi, uwezi kuwa na kikosi cha kuungaunga alafu ukashindana na timu iliyokamilika kiufundi, Yanga anaweza asicheze vizuri lakini ukachezea kichapo vile vile ni kutokana na team work waliyonayo na aina ya wachezaji walionao ni quality tupu.

Nazitaadharisha timu nyingine zenye mawazo ya kijinga kama ayo ziheshimu uwezo wa yanga kwa sasa ni level nyingine
 
Kuna kaujinga fulani kanaenezwa na wajingawajinga fulani hivi kuwa yanga akivaa jezi nyeusi ndio anashinda na asipovaa basi ashindi.

Azam leo wamekataa katakata kuvaa jezi zao za nyumbani wakavaa jezi za ugenini wakiamini yanga inapata magoli kupitia jezi nyeusi ni upuuzi wa hali ya juu kabisa.

Yanga hawa wamebeba ubingwa wakiwa wamevaa sana jezi za kijani sasa sijui hii imani ambayo timu nyingi kwa sasa zinazokuja kucheza na yanga zinaitoa wapi, uwezi kuwa na kikosi cha kuungaunga alafu ukashindana na timu iliyokamilika kiufundi, Yanga anaweza asicheze vizuri lakini ukachezea kichapo vile vile ni kutokana na team work waliyonayo na aina ya wachezaji walionao ni quality tupu.

Nazitaadharisha timu nyingine zenye mawazo ya kijinga kama ayo ziheshimu uwezo wa yanga kwa sasa ni level nyingine
huo uwezo ni ndani tu au na kimataifa?
 
Kuna kaujinga fulani kanaenezwa na wajingawajinga fulani hivi kuwa yanga akivaa jezi nyeusi ndio anashinda na asipovaa basi ashindi.

Azam leo wamekataa katakata kuvaa jezi zao za nyumbani wakavaa jezi za ugenini wakiamini yanga inapata magoli kupitia jezi nyeusi ni upuuzi wa hali ya juu kabisa.

Yanga hawa wamebeba ubingwa wakiwa wamevaa sana jezi za kijani sasa sijui hii imani ambayo timu nyingi kwa sasa zinazokuja kucheza na yanga zinaitoa wapi, uwezi kuwa na kikosi cha kuungaunga alafu ukashindana na timu iliyokamilika kiufundi, Yanga anaweza asicheze vizuri lakini ukachezea kichapo vile vile ni kutokana na team work waliyonayo na aina ya wachezaji walionao ni quality tupu.

Nazitaadharisha timu nyingine zenye mawazo ya kijinga kama ayo ziheshimu uwezo wa yanga kwa sasa ni level nyingine
Nadhani wamekusikia na wamekoma wajinga kabisa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kaujinga fulani kanaenezwa na wajingawajinga fulani hivi kuwa yanga akivaa jezi nyeusi ndio anashinda na asipovaa basi ashindi.

Azam leo wamekataa katakata kuvaa jezi zao za nyumbani wakavaa jezi za ugenini wakiamini yanga inapata magoli kupitia jezi nyeusi ni upuuzi wa hali ya juu kabisa.

Yanga hawa wamebeba ubingwa wakiwa wamevaa sana jezi za kijani sasa sijui hii imani ambayo timu nyingi kwa sasa zinazokuja kucheza na yanga zinaitoa wapi, uwezi kuwa na kikosi cha kuungaunga alafu ukashindana na timu iliyokamilika kiufundi, Yanga anaweza asicheze vizuri lakini ukachezea kichapo vile vile ni kutokana na team work waliyonayo na aina ya wachezaji walionao ni quality tupu.

Nazitaadharisha timu nyingine zenye mawazo ya kijinga kama ayo ziheshimu uwezo wa yanga kwa sasa ni level nyingine
Pamoja na kumng'ang'ania feitoto........bado kichapo heavyweight [emoji1][emoji1]
 
Ishu ya jez nyeusi walio anzisha ni wapinzan au yanga wenyewe?
Wewe unaumwa eti? Ni lini yanga walikwambia jezi nyeusi zinafanya washinde mechi? Wajinga wajinga kama nyie ndio mlianzisha mada ya kipuuzi baada ya kukosa kichaka cha kujifichia mkaamia kwenye suala la jezi, kwani yanga imeanza kuvaa jezi nyeusi msimu huu tu? Nitajie jezi rasmi za yanga zinazotambulika, acheni upimbi mtapigwa mpaka mchakae maana amtaki kuukubali ubora wa yanga kwa sasa mmebaki kama wapiga ramli
 
Wanasema wamepunguza idadi ya magoli wasingezivaa ilibidi wale tano.

Sema hii safi sana, tukitinga uzi mweusi tu tunawatoa mchezoni.
 
Wewe unaumwa eti? Ni lini yanga walikwambia jezi nyeusi zinafanya washinde mechi? Wajinga wajinga kama nyie ndio mlianzisha mada ya kipuuzi baada ya kukosa kichaka cha kujifichia mkaamia kwenye suala la jezi, kwani yanga imeanza kuvaa jezi nyeusi msimu huu tu? Nitajie jezi rasmi za yanga zinazotambulika, acheni upimbi mtapigwa mpaka mchakae maana amtaki kuukubali ubora wa yanga kwa sasa mmebaki kama wapiga ramli
Du mbona unanitukana wakati Mimi nimeuliza swali? Labda apo nilichokosa mi ni kipi? Ukijibu Tu normal kuna shida Endelea kutukana mzee njoo na tusi jipya
 
Back
Top Bottom