Pamoja na kung'ang'ana kuvaa jezi nyeusi wakiamini ndio ushindi lamba lamba wamepasuka

Pamoja na kung'ang'ana kuvaa jezi nyeusi wakiamini ndio ushindi lamba lamba wamepasuka

Timu zilizokubali kuingia huu mtego ndo za ovyo na viongozi wao. Haiwezekani na haitatokea kiongozi wa timu anayejielewa huko Ulaya, America au Afrika atakayetoka na kuongelea rangi ya jezi kama sehemu ya mkakati wa ushindi. Nilipomsikia Zaka Zakazi na Hashimu wakitilia mkazo rangi ya jezi nikajua Mechi imeisha.
 
Timu zilizokubali kuingia huu mtego ndo za ovyo na viongozi wao. Haiwezekani na haitatokea kiongozi wa timu anayejielewa huko Ulaya, America au Afrika atakayetoka na kuongelea rangi ya jezi kama sehemu ya mkakati wa ushindi. Nilipomsikia Zaka Zakazi na Hashimu wakitilia mkazo rangi ya jezi nikajua Mechi imeisha.
Ni viongozi wa ovyo kabisa, Wanashindwa kusajili wachezaji bora wanakwenda kuwasajili kina kibu denis na wakina kapama alafu wanataka timu ipate matokeo sawasaw na wale waliowekeza pesa nyingi kwenye usajili njia inayobaki ni kujificha kwenye sababu za ovyo ovyo kama hizo,,yani jezi ndo inacheza uwanjani na kuleta matokeo!!!🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom