Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,228
- 1,157
Habari wana jamvi katika utafiti wangu bao siyo rasmi nyama imeendelea kuwa ni bidhaa inayonunuliwa kwa wingi.
Tafiti inaonesha kuwa matumizi ya mboga ya nyama yamezidi kwa sababu ni mboga ambayo maandalizi yake hayana gharama kubwa.
Watu wenye kipato cha wanaweza wakanunua nyama robo kilo na ikawatosheleza kwa milo 2 tofauti na mboga nyingine.
Nini maoni yenu wanajamvi.
Tafiti inaonesha kuwa matumizi ya mboga ya nyama yamezidi kwa sababu ni mboga ambayo maandalizi yake hayana gharama kubwa.
Watu wenye kipato cha wanaweza wakanunua nyama robo kilo na ikawatosheleza kwa milo 2 tofauti na mboga nyingine.
Nini maoni yenu wanajamvi.