Pamoja na kushusha bei wananipita wanaenda kwingine, najiuliza nakosea wapi?

Pamoja na kushusha bei wananipita wanaenda kwingine, najiuliza nakosea wapi?

ALPARSLAN

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
467
Reaction score
1,181
Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.

Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!

Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
 
Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.

Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!

Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
Watu wemejenga brand zao huwezi ukaja tu uuze nawe jenga customer base yako tazama wenzio wanafanya nini kuwa tofauti na wao ukiweza nunua ki speaker kiweke kiwe kina tangaza tangazo la bidhaa zako lenye ushawishi.

Mimi ni mwanamke huwa tuna matajiri zetu ukizoea hapo kununua hata aje nani hauendi labda asiwepo utanunua mfano nayanya nazi kitunguu kwingine inaonekana ulianza biashara na matumaini makubwa labda uuze cocaine ndo itakulipa kwa siku sio wiki wewe biashara una wiki ushaanza kulalama ipe muda.
 
Watu wemejenga brand zao huwezi ukaja tu uuze nawe jenga customer base yako tazama wenzio wanafanya nini kuwa tofauti na wao ukiweza nunua ki speaker kiweke kiwe kina tangaza tangazo la bidhaa zako lenye ushawishi.

Mimi ni mwanamke huwa tuna matajiri zetu ukizoea hapo kununua hata aje nani hauendi labda asiwepo utanunua mfano nayanya nazi kitunguu kwingine inaonekana ulianza biashara na matumaini makubwa labda uuze cocaine ndo itakulipa kwa siku sio wiki wewe biashara una wiki ushaanza kulalama ipe muda.
Sawa mkuu
 
Sijakuelewa mkuu unaweza fafanua kidogo?
Ngoja nikuelezee alichokimaanisha.
Yaani amemaanisha kwenye biashara ukiachilia mbali ubora wa bidhaa na bei kuna mambo mengine ya ziada.
Mambo hayo ya ziada hutofautiana kila mtu huwa ana mbinu zake au mambo yake ya ziada tofauti ya kumchota mteja ili asimsahau,akili za mteja zipo kama akili za mtoto mdogo vile unavyomzoesha kitu fulani basi atataka aendelee hivyohivyo na hataki kingine.
Hapa ndio kunaingia mambo ya ucheshi,kutoa ofa/zawadi/nyongeza,kutengeneza kachumbari tamu,buni mbinu zako binafsi za kumchota akili mteja na baada ya miezi kadhaa wanakuzoea na hawatataka kwenda kwa mwingine.
Hujawahi kuona baadhi ya wauzaji wa maduka/duka la Mangi au Mgahawa kwa nje anaweka TV watu waangalie bure ile ni mbinu mojawapo ili wateja wasimsahau iwe muda wote wanawaza kwenda kwake.
Kwa hiyo vumilia ndugu wiki moja ni ndogo mno kuitathmini biashara unatakiwa upambane angalau miezi 6 ili uwe na wateja wako na wewe
 
Ngoja nikuelezee alichokimaanisha.
Yaani amemaanisha kwenye biashara ukiachilia mbali ubora wa bidhaa na bei kuna mambo mengine ya ziada.
Mambo hayo ya ziada hutofautiana kila mtu huwa ana mbinu zake au mambo yake ya ziada tofauti ya kumchota mteja ili asimsahau,akili za mteja zipo kama akili za mtoto mdogo vile unavyomzoesha kitu fulani basi atataka aendelee hivyohivyo na hataki kingine.
Hapa ndio kunaingia mambo ya ucheshi,kutoa ofa/zawadi/nyongeza,kutengeneza kachumbari tamu,buni mbinu zako binafsi za kumchota akili mteja na baada ya miezi kadhaa wanakuzoea na hawatataka kwenda kwa mwingine.
Hujawahi kuona baadhi ya wauzaji wa maduka/duka la Mangi au Mgahawa kwa nje anaweka TV watu waangalie bure ile ni mbinu mojawapo ili wateja wasimsahau iwe muda wote wanawaza kwenda kwake.
Kwa hiyo vumilia ndugu wiki moja ni ndogo mno kuitathmini biashara unatakiwa upambane angalau miezi 6 ili uwe na wateja wako na wewe
Sawa nimekuelewa
 
Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa.

Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh ngapi unamwambia bei anakigeuza geuza wee anakitathmini halafu anasema anarudi ndo imeisha hiyo. Nikasema ngoja nishushe bei miguu niuze 100 ila wananipita wanaenda kwingine!

Najiuliza nakosea wapi ila sioni kama Mungu namuomba Kila siku Kila muda hata nikiwa naweka kuku kwenye mafuta naomba pia ila wapi
Unauza sehemu gani siku nikuungishe pia nikuelekeze chachandu ambayo itakutofautisha na wengine pia kuku wako ukiwaosha na maji watie vinegar ni buku tu inakata shombo yote ya kuku.
 
Back
Top Bottom