misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Kwa hapa tulipofikia kula ugali ni ANASA.Hapo bado mifuko ya pension ya wastaafu kukwanguliwa na na kuachwa myeupeeee na pesa zote kupelekwa bwawa la nyerere yaan mzee alikuwa anamawazo ya hovyo sana yule.
Awamu ya sita oyeee