Ee Mola tunaomba ulinusuru hili Taifa. Kama ni hivyo kweli, tuna shida kubwa. Ni kama Taifa lililoja MASHETANI.Kweli kabisa, mimi nilikuwa msimamizi wa uchaguzi huu, katika kituo changu Lissu alipata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyo bandikwa ni lissu 06 na Magufuli 370 hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Statement hii ndio imenikatisha tamaa ya kuendelea kusoma.maana wengi wamechaguliwa kwa huruma za wananchi baada ya rais kuwapigia debe majukwaani. Wao kama wao wasingetoboa hata kwa tindo na kotapini.
Ngoja tuone..mda ndio hakim mzuri katika hiliUkisikia maongenzi ya mkurugenzi wa geita ,kwa jinsi anavyoongea KWA kujiamini, nafikili ajakwiba pesa,
Aah,huyu muuza kahawa anasema una bei ndogo kuliko gari la huyo DED,halafu anaunga mkono mambo ya kanyasu etiUnataka kuununua?
Basi mwambie unauzwa.Aah,huyu muuza kahawa anasema una bei ndogo kuliko gari la huyo DED,halafu anaunga mkono mambo ya kanyasu eti
Mshindi alikuwa Tundu Lissu.Acha urongo wabunge hawakuchaguliwa na wananchi na rais mwenyewe hakuchaguliwa na wananchi.Wewe unajua hili,wananchi wanajua na dunia inajua.
Tusilazimishe mawe yawe mkate.Mshindi alikuwa Tundu Lissu.
Hujui nani alimchagua?Tahira ni tahira tu eti walipitishwa kwa mgongo wa raisi mwizi kwani yeye nani kamchaguwa hahachaguliwa kama vile hao wabunge hawajachaguliwa na bado mutafedheheka na laana juu mashetani majizi makubwa nyie
Yaani mtu kuongea vile kwenye kamera ndio hajacheza dili?Ukisikia maongenzi ya mkurugenzi wa geita ,kwa jinsi anavyoongea KWA kujiamini, nafikili ajakwiba pesa,
Tafuta neno mbadala ndiyo nitaendelea kusoma uzi wakowengi wamechaguliwa
Rais anapinga ufisadi mbunge anatetea hapa uoni kuna tatizo?
Dili anaweza akawa kacheza ,sikatai japo kwa jinsi anavyo ongea Kuna matumain flan hivi kwamba hajakwiba maana Kuna mwingine akijieleza unaona kabisa kwamba ni mwiziYaani mtu kuongea vile kwenye kamera ndio hajacheza dili?
Kimsingi huyu alitumbukiwa na wananchi akapora maamuzi ya wananchi. Ameikalia ikulu kimababvu/kidikteta.hata rais anapaswa kutumbuliwa kwa ufisadi,
We kijeba wa Jf sijakuelewa? Unasema rais anatumia magari mengi tofauti na mahitaji ya ulinzi wake? We unajua ana maadui wangapi sasa hivi? Hujui ameziba mianya ya mafisadi na mabeberu? Usiongee kujifurahisha.Rais anapinga ufisadi jukwaani, haoni kuwa tatizo ni mfumo? Rais anachofanya ni kucheza siasa za kiki. Maamuzi ya kununua hilo gari yamefuata taratibu zote za manunuzi. Kama hakuridhika na huo ununuzi, angeanza na wote walioshiriki kwenye mchakato mzima wa ununuzi wa hilo gari. Hii ni ikiwemo na waziri/katibu Mkuu Tamisemi. Kwa taarifa yako kwa mtindo huo, hata rais anapaswa kutumbuliwa kwa ufisadi, maana hata yeye anatumia magari mengi na ulinzi ambao hauendani na hali ya usalama inayohubiriwa. Lakini kwakuwa tuna bunge kibogoyo ndio maana wanasubiri kucheza beat za rais. Kwa wenye upeo mdogo wanaweza kuamini rais anapambana na ufisadi, ukweli ni kuwa rais anapambana na matumizi ya neno fisadi.
Ulishashuhudia wezi wakijitetea mahakamani?Dili anaweza akawa kacheza ,sikatai japo kwa jinsi anavyo ongea Kuna matumain flan hivi kwamba hajakwiba maana Kuna mwingine akijieleza unaona kabisa kwamba ni mwizi
Yaani unataka kusema Ccm inalea mafisadi? Mbona mkurugenzi amesimamishwa na uchunguzi utafanyika?Ni ngumu kutenganisha CCM na ufisadi.
Najua inauma sana kusikia bunge lote ni kijani.Hakukuwa na uchaguzi, bali yalikuwa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Museven naye leo kawaahidi Waganda uchaguzi huru na haki.Nani kakwambia Magufuli na wabunge wake walichaguliwa na wananchi?