Pamoja na kuwa leo ni Public Holiday, mbona ni kama siku ya kawaida tu hatuna hamasa ya sikukuu?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hivi hii sikukuu ya Maulid sio muhimu kama ile ya Idd?

Mbona naona huku mtaani kumtoa utadhani hakuna sikukuu?

Shamrasha za hii sikukuu mbona siziona japo leo ni Public Holiday?

Halafu kuna Waislamu hii sikukuu hawaitambui?

Kwenye kalenda leo ilikuwa inaonekana ni sikukuu ya Maulid, ila kuna baadhi ya waislamu(niko nao mtaani)mpaka juzi hata walikuwa hawajui kama leo ni sikukuu kwani nilipowauliza nao wao ndio wanashituka!

Hii nafahamu ni sherehe ya siku ya kuzaliwa Mtume(SAW) ila naona ni tofauti sana na Idd hasa mwaka huu.

Nyie wenzangu huko mnaonaje?

Hata hivyo, Mama ame-tweet kuwatakia Sikukuu njema.

 
Hii sio sherehe ya kunywa mkojo wa firauni ,hii ni mazazi ya mtume s.a.w
 
Hii siku kuu ya kutafakuri mienendo yetu, sio misele na kwenda bivu.
Pamoja na mambo mengine ni kufurahi, kumsalia na kumsifu kipenzi chetu, mtukufu wa daraja, Bwana wa watu, aliyeletwa ulimwenguni ili awe rehema kwa viumbe wote.
Mtume wa mwisho kabisa, bwana Mtume Muhammad(SAW) , amani ,huruma na baraka za Allah zimfikie yeye kama zilovyomfika bwana wetu na baba wa mitume nabii Ibrahim.
Amiin.
Maulid kareem kwenu wapendwa wote.
 
Utasikia mama kaenda mapumzikoni
 
Alafu Nape atakwambia hela zimemwagika mitaani wananchi wan pesa mfukoni.

Kama wana pesa mbona kanzu mpya hatuzioni?
 
Nchi inayonuka dhiki sikukuu itatoka wapi ?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…