Pamoja na kuwa leo ni Public Holiday, mbona ni kama siku ya kawaida tu hatuna hamasa ya sikukuu?

Pamoja na kuwa leo ni Public Holiday, mbona ni kama siku ya kawaida tu hatuna hamasa ya sikukuu?

Hivi hii sikukuu ya Maulid sio muhimu kama ile ya Idd?

Mbona naona huku mtaani kumtoa utadhani hakuna sikukuu?

Shamrasha za hii sikukuu mbona siziona japo leo ni Public Holiday?

Halafu kuna Waislamu hii sikukuu hawaitambui?

Kwenye kalenda leo ilikuwa inaonekana ni sikukuu ya Maulid, ila kuna baadhi ya waislamu(niko nao mtaani)mpaka juzi hata walikuwa hawajui kama leo ni sikukuu kwani nilipowauliza nao wao ndio wanashituka!

Hii nafahamu ni sherehe ya siku ya kuzaliwa Mtume(SAW) ila naona ni tofauti sana na Idd hasa mwaka huu.

Nyie wenzangu huko mnaonaje?

Hata hivyo, Mama ame-tweet kuwatakia Sikukuu njema.

View attachment 1979683
Labda huna mwaliko sehemu mkuu. Wengine tumeshashiba biriani na watoto tunaangalia Rango na Puss in 🥾
 
Sasa mbona hamuipi uzito?
Hii sherehe iko kivingine siyo sawa na ile ya Eid.

Maulid huwa yanasomwa usiku wa kuamkia (mfano leo) na kwa kawaida humalizika usiku sana au karibu ya alfajiri. Ndiyo maana siku kama ya leo huwa ni mapumziko baada ya mkesha wa maulid. Siyo kupita barabarani na kufurahia.
 
Hivi hii sikukuu ya Maulid sio muhimu kama ile ya Idd?

Mbona naona huku mtaani kumtoa utadhani hakuna sikukuu?

Shamrasha za hii sikukuu mbona siziona japo leo ni Public Holiday?

Halafu kuna Waislamu hii sikukuu hawaitambui?

Kwenye kalenda leo ilikuwa inaonekana ni sikukuu ya Maulid, ila kuna baadhi ya waislamu(niko nao mtaani)mpaka juzi hata walikuwa hawajui kama leo ni sikukuu kwani nilipowauliza nao wao ndio wanashituka!

Hii nafahamu ni sherehe ya siku ya kuzaliwa Mtume(SAW) ila naona ni tofauti sana na Idd hasa mwaka huu.

Nyie wenzangu huko mnaonaje?

Hata hivyo, Mama ame-tweet kuwatakia Sikukuu njema.

View attachment 1979683
Tarehe 19/10/2021, bado wiki moja nzimaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom