Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Kaizer ntakubatiza .....Mzee wa kuchakachua threads...........mwone vile!! Fake Smiles na living single happly//lonely vinahusianaje??
Hii hii inayo mesa mwenzie???????????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaizer ntakubatiza .....Mzee wa kuchakachua threads...........mwone vile!! Fake Smiles na living single happly//lonely vinahusianaje??
LD ni kweli usemacho na ninakubali kabisa kuwa ukichagua na kukubali kuishi single utaweza, swali langu ni je ni kweli kuwa hutokaa ujisikie mpweke na kuwish usingechagua maisha ya aina hiyo?? au just to wish having someone at particular time?? Am not saying kuwa umekamatwa na hamu ya kimwili la hasha (hizo zipo njia mbadala nyingi tu za kuipotezea) other forces.......labda unatamani ungekuwa na mtu wa kukubembeleza, kushare naye your ideas, furaha n.k?........najua wapo watakaojibu kuwa una ndugu na marafiki wa kushare but are they enough?? wont you wish for more??
None of the above
Unatamani??? Masai hataki kuchakachua peku peku?sitii neno in dis sred ila nasikia wengi walioolewa wanatamani yale maisha ya kuwa single. Binafsi nataman sana siku ntakayoanza kuitwa mama flan.
Yani unaweza kujifunza nini kutoka kwenye KITOWEO?Hivi unaweza kuishi maisha yote mawili kwa pamoja, yaani toi some extent unakuwa na single mind and life, and to some unakuwa na engaged life.....hii ni moja
Pili, hivi wanyama wengine wao wanaishije mfano mbuzi huwa wanakuwa single au ikoje....we learn somthing from other animals life
Anataka niwe Mtukutu apate sababu ya kunichapa..............nami wala sitengeukiAisee Teamo mbona unamchakachua mjukuu wangu mtiifu?
Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, Women, Money etc, etc... are a man's worst enemies, and the man who runs away from his enemies is a COWARD.
Thanks God ,, I am NOT.....
Yani unaweza kujifunza nini kutoka kwenye KITOWEO?
Yani unaweza kujifunza kitu kwenye makange ya digidigi!!
hi Bigirita! I miss u!!! nataman ila lazma tuanalyse the right time for that. Think of unarudi home unakumbatiana na kitoto chako, kinakusumbua kidogo unakifinya. Jumapili unakipeleka sunday school i think this is the way life should be.Unatamani??? Masai hataki kuchakachua peku peku?
Mwanajamiione nahitaji nikutongoze.......
you speak my word dear, sisi ni homo sapiens advanced brain au yeye kuna wakati anafanya reference ya matendo yake kwa hao KITOWEO+digidigi?Yani unaweza kujifunza nini kutoka kwenye KITOWEO?
Yani unaweza kujifunza kitu kwenye makange ya digidigi!!
Yo Yo....are you happly single??Mwanajamiione nahitaji nikutongoze.......
Umepata division ngapi kwenye matokeo ya juzi ya form 4?
have seen one?...'m just curious:A S-alert1:
you speak my word dear, sisi ni homo sapiens advanced brain au yeye kuna wakati anafanya reference ya matendo yake kwa hao KITOWEO+digidigi?