Pamoja na Kwamba Donald Trump Ni Mpinzani, aliyempiga Risasi alipatikana Muda huo huo na Amani ikarejea, Africa na Tanzania tunalo la kujifunza?

Pamoja na Kwamba Donald Trump Ni Mpinzani, aliyempiga Risasi alipatikana Muda huo huo na Amani ikarejea, Africa na Tanzania tunalo la kujifunza?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Tukio la jaribio la kumuua Aliyekuwa Rais Wa Zamani wa Marekani na Mgombe wa Kiti Cha Urais Mh Donald Trump limeibua taharuki na sura mpya ktk siasa za Marekani.

Hata hivyo kama Nchi na Kama Afrika tunalo la kujifunza kwamba Aina yoyote ya uharifu bila kujari anayefanyiwa ni nani tunapaswa kuwa pamoja na kuudhibiti kabla ya kuleta madhara zaidi.

Hii imenikumbusha Tukio la Jaribio la Kumuua Mh Tundu Lissu aliyekuwa Mgombea wa Kiti Cha Urais hapo 2020 liliotokea mwaka 2017.

Cha kushangaza tukio la mchana kweupe hadi leo limekuwa kizungumkuti.

Kwa Upande wa Marekani huwezi kuchezea amani yao ukabaki salama.

Wamarekeni ni watu wanaosimama pamoja kwa ajili ya Nchi yao. Hawana maslahi binafsi linapofika swala la Umoja wao na amani yao.

Afrika na Tanzania tujifunze kwa waliofanikiwa.
Tuache kujifunza kwa Gadafi au Omar Albashir wa Sudani.
 
nchi itakaa sawa siku akipigwa risasi moja ya viongozi wa ccm tena apigwe afe ndipo tutaelewa somo...... nashangaa sana hata polisi wetu kuendeshwa na wanasiasa ni ufhaifu mkubwa sana...... ila sishangainkwa kada inayochukua watu waliofeli na kujikatia tamaa ya maisha lazima waendeshwe hawawezi simamia misingi ya kazi zao
 
nchi itakaa sawa siku akipigwa risasi moja ya viongozi wa ccm tena apigwe afe ndipo tutaelewa somo...... nashangaa sana hata polisi wetu kuendeshwa na wanasiasa ni ufhaifu mkubwa sana...... ila sishangainkwa kada inayochukua watu waliofeli na kujikatia tamaa ya maisha lazima waendeshwe hawawezi simamia misingi ya kazi zao
Tena naomba litokee haswa kabisa angalau wawili kwa wakati mmoja halafu tuone.
 
we mnoko sana
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
Unafahamu hao watu wanalindwa kwa perimeters ndio maana ni rahisi kwao kuzunguka eneo lote na gharama yao ya ulinzi sio ndogo.

Hivi unadhani wale vitambi wanaomzunguka ‘bi tozo’ kuna wakwenda kumlalia wakati wa milio ya risasi,

Watu wenyewe wa karibu hawana hata bullet proof vests.
 
Tukio la jaribio la kumuua Aliyekuwa Rais Wa Zamani wa Marekani na Mgombe wa Kiti Cha Urais Mh Donald Trump limeibua taharuki na sura mpya ktk siasa za Marekani.

Hata hivyo kama Nchi na Kama Afrika tunalo la kujifunza kwamba Aina yoyote ya uharifu bila kujari anayefanyiwa ni nani tunapaswa kuwa pamoja na kuudhibiti kabla ya kuleta madhara zaidi.

Hii imenikumbusha Tukio la Jaribio la Kumuua Mh Tundu Lissu aliyekuwa Mgombea wa Kiti Cha Urais hapo 2020 liliotokea mwaka 2017.

Cha kushangaza tukio la mchana kweupe hadi leo limekuwa kizungumkuti.

Kwa Upande wa Marekani huwezi kuchezea amani yao ukabaki salama.

Wamarekeni ni watu wanaosimama pamoja kwa ajili ya Nchi yao. Hawana maslahi binafsi linapofika swala la Umoja wao na amani yao.

Afrika na Tanzania tujifunze kwa waliofanikiwa.
Tuache kujifunza kwa Gadafi au Omar Albashir wa Sudani.
Mazingira ya Trump yalikuwa ya wazi mno na hata baadhi ya watu waliokuwepo walimuona mshambualiaji. Ya Lissu hata yeye anajichanganya kila siku. Dereva wake amekimbizwa na aliyeshambuliwa. Hawataki hata ahojiwe na Vyombo vya Dola.
 
Back
Top Bottom