Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)

Mjinga pekee asiyejua kwamba hydroelectric power ni environmental friendly energy source. Natural gas ni fossil fuel inachafua mazingira ya anga letu kwa kuemit green house gases ambazo zinaongeza joto duniani.
 
Muhongo alikurupuka bila kuwa na data , uprofesdor ni pamoja na kuzungumza kisayansi .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Muhongo Ni afisa masoko anatafuta soko la gesi kwa commison ikikubaliwa umaskini anauaga

Wabunge nchi nyingi hutumika kama maafisa madoko ili kusukuma mambo yaende ndio Maana hata spika Ndugai uliona akiobgelea mradi wa bandari ya bagamoyo ya wachina kuwa uendelee!! Yeye ndie makerting officer wao iki tick atakuwa bilionea commission yake sio ya kitoto
 
Kumbuka gesi imevumbuliwa hivi karibuni na tayari Norway ilisha wekeza ktk nishati ya umeme ya vyanzo maji vya maji toka 1891 The History of Norwegian Hydropower in 5 Minutes. Pia gesi na mafuta vilianza kuwa chanzo tajwa Norway 1959 Black Gold: Norway's Oil Story - Life in Norway.

Umeme wa maji katika nchi baridi za kaskazini kama Niagara Falls USA, Yangtse China ni sahihi vyanzo vyake ni mvua na barafu tofauti na nchi za joto za tropiki .

ila nchi za joto za tropiki ambazo wananchi wake wanaharibu mazingira kwa kuwa wengi ni wakulima wadogo na wachoma mkaa umeme wa kutegemea vyanzo vya maji pekee ni changamoto kubwa.


Hii ndiyo tofauti ya kijiografia na hali ya hewa inatakiwa kuzingatiwa kwa nchi za joto za tropiki kuwa na vyanzo mchanganyiko vya umeme yaani gesi ,maji ili kushinda upungufu wa nishati ikitokea ukame n.k
 
Mjinga pekee asiyejua kwamba hydroelectric power ni environmental friendly energy source. Natural gas ni fossil fuel inachafua mazingira ya anga letu kwa kuemit green house gases ambazo zinaongeza joto duniani.
Mjinga ni yule anamuita mwenzake mjinga. Uharibu wa mazingira sio suala la emission ya green house gases peke yake. Kuondoa carbon sink kwa kufunika mapori ni environmental damage. Kuzuia natural flow ya maji na kuzuia virutubisho vilivyokuwa vinapelekwa down stream ni uharibifu wa mazingira. Kuongeza joto la maji ambalo lita affect viumbe down stream ni uharibu wa mazingira. Kufyeka mapori ili kujenga barabara za kuhudumia bwawa ni uharibifu wa mazingira. Kujenga kamji kadogo kwa ajili ya wahudumiaji wa mitambo ni uharibifu wa mazingira. Kuua wanyamapori na wadudu wengine waliokuwa wanaishi eneo la mradi ni uharibu wa mazingira. Kujenga distribution network ya umeme katika heritage site ni uharibifu wa mazingira. Huo u environmental friendliness wa huu mradi uko wapi?

Siku nyingine uwe na adabu.

Amandla....
 
Ahaaa, nafikiri kwa busara tu, sababu nchi nyingi duniani wanatumia HEP ni wazi hakuna mtu atakayependekeza matumizi ya gas
 
Uko sahihi lakini ni mwendawazimu peke yake anayeweza kukubali kwamba inajengwa JNHPP mwaka 2020 kwa kutumia feasibility study na design ya mwaka 1970/72 tutegemee kupata matokeo chanya na endelevu tukizingatia mabadiliko ya teknolojia, hali ya hewa, uchumi na mifumo ya biashara!
 
Hivi hawa wasomi wa kiafrika baada ya kumaliza kisoma, huwa wanaweka taaluma zao ndani ya briefcases na kufikiri kwa kutumia matumbo yao?

Huyu muhongo alikuwa waziri wakati wa JK, na wakati wa scandal ya Escrow alituthibitishia kwamba yale mabilioni ya pesa hayakuwa ya Watanzania. Lakini tume ilikuja na majibu tofauti na kututhibitishia kwamba muhongo aidha hana alichokijua au na yeye nae alikuwa ni duka. JK hakuwa na namna aling'oa katika nafasi yake ya uwaziri.

JPM alipoingia madarakani alimrudisha katika nafasi ileile ya uwaziri wa nishati na madini, hakukaa muda mrefu makinikia yakamtoa madarakani. Pia alituthibitishia ule ulikuwa ni mchanga na hakukuwa na kiwango kikubwa cha madini..

Leo huyu muhongo anapata wapi nguvu za kutuambia Watanzania kwamba umeme wa hydro ni gharama compare na gas?? Hembu atuache kwanza.
 
Mjinga pekee asiyejua kwamba hydroelectric power ni environmental friendly energy source. Natural gas ni fossil fuel inachafua mazingira ya anga letu kwa kuemit green house gases ambazo zinaongeza joto duniani.

Kwenye suala la emission ya green house gas, hydro power haiko nyuma. Mimea na mapori yatayofunikwa na bwawa itaoza na kutoa methane ambayo ni mbaya mara 20 kuliko carbon dioxide gases. Kutuambia kuwa hydro power ni environmental friendly ni ujinga uliopitiliza.

Amandla...
 
Sasa, ndio ilishaanza kujengwa, na mkataba tulishaingia. Ndio mchukue kamba mjinyonge. Madaraja tumejenga nendeni mkabomoe, fly over tumejenga nendeni mkabomoe, stendi ya Mbezi tumejenga nendeni mkabomoe, hospitali tumejenga nendeni mkabomoe, meli tumenunua nendeni mkaziuze, Bandari ya Dar tuliipanua nendeni mkaipunguze. Ni hayo tu.
 
Toka lini Norway ni kisiwa na ndogo kuliko zenji?
 
Umeme wa maji bado ni muhimu sana duniani. Hao wakina mhongo na shule zao za kukariri wanataka kuturudisha nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…