Pamoja na Maandamano Kenya, Muswada wa Fedha wapitishwa na wabunge

Wale wanasema imewasaidia nini yaani tz sjui mko vipi,sasa mabadiliko gani huja na siku moja?
Wanaweka misingi ili watawala wanaokuja wajiangalie,ninyi kaeni hapo mtasubiri sana.
Usichokijua ni kuwa Raila Odinga amekua mwanaharakati toka miaka ya 1980 ila mpaka Leo anapuyanga. Achana na kupambana na wabunya asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…