Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 808
- 2,155
Wanapoteza muda tu. Njaa itawarudisha kwenye shughuli za kuwapa chakula
Mtaani kwenyewe kugumu Kuna njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapoteza muda tu. Njaa itawarudisha kwenye shughuli za kuwapa chakula
Marekebisho yamefanyika ila Gen Z wanataka ufutwe kabisa waanze upya!..Finance bill imefanyiwa marekebisho, au imepitishwa bila kuzingatia hoja za walioipinga?
Boss Kura zimepigwa kwa kufuata Chama (kabila) hao Gen Z (Mazombi) wanajifurahisha maana hawapigi Kura. Muswada umekwenda kwenye Kamati na kisha unapelekwa Kwa Ruto (mtoza ushuru Zakayo)Wabunge wote waliopitisha hiyo Bill, hawatauona mlango wa Bunge, uchaguzi ujao. Kenya ni wale, nikanyage kwa bahati mbaya, nikukanyage kwa makusudi...
Bahati nzuri Wakenya huwatoi kwenye reli kwa hoja kama hizi. Huku wakina Mbowe wakiandamana wataitwa Wachaga, wanatumiwa na mabeberu, wadini na mengine mengi lengo kuwatoa kwenye mada husika. Ila sio Wakenya.Ukabila tu unawala wakenya , finance bill hapo ni kivuli ila hata wale walioshindwa uchaguzi wanapata muda wa kupush maandamano ili kum disturb Ruto
Nikumbushe kama Maandamano Kenya yalishawaidiaga? Maandamano wanaweza waarabu (2011 Arab springs).Bahati nzuri Wakenya huwatoi kwenye reli kwa hoja kama hizi. Huku wakina Mbowe wakiandamana wataitwa Wachaga, wanatumiwa na mabeberu, wadini na mengine mengi lengo kuwatoa kwenye mada husika. Ila sio Wakenya.
Halafu utaanza kulalamika oh udikteta sijui nini: upuuzi mtupu😎Nchi za Africa,zinatakiwa zitawaliwe kijeshi.
Demokrasia imefika mwisho.
Sema wewe nyumbu usitusemee wengine bila kibali😎😁Lkn wameonyesha kuwa wako stable hawayumbishwi kama sisi nyumbu
Kama wewe ni shoga utakuwa shoga tu siyo lazima mswaada wa Bunge upitishweAtleast wanathubutu. Kuna siku mtaletewa muswada wa ushoga mtabaki mnakenua tu.
Dah we jamaa. Unahisi katiba mpya ya Kenya mwaka 2010 ilikua ni matokeo ya nini? Kumbe hata yanayoendelea huko Kenya hufatilii halafu unaongea with a confidence. Hatari sana.Nikumbushe kama Maandamano Kenya yalishawaidiaga? Maandamano wanaweza waarabu (2011 Arab springs).
Typical Mtanzania With A Low Level Of Reasoning As Usual.Kama wewe ni shoga utakuwa shoga tu siyo lazima mswaada wa Bunge upitishwe
Wewe pimbi CCM ndiyo inakufanya uwe hai na kuweza kuandika pumba JF. Na utakufa utaiacha kama walivyoiacha akina Mtikila, Seif Shariff Hamad na MapalalaTypical Mtanzania With A Low Level Of Reasoning As Usual.
Hata nikikuambia CCM ipo madaraka sababu watu kama nyie mko wengi kupita namba ya wanaojielewa bado utabisha.
Duh kumbe ccm amechukua nafasi ya Mungu ..kumbe uhai wa watanzania umeshikiliwa na ccm.Wewe pimbi CCM ndiyo inakufanya uwe hai na kuweza kuandika pumba JF. Na utakufa utaiacha kama walivyoiacha akina Mtikila, Seif Shariff Hamad na Mapalala
Kama amendments umefanyika mbona bado wakaandamana?Wewe hujielewi.finance bill kupita hakumaanishi kuwa amendments hazijafanyika.kumefanyika marekebisho makubwa kwenye huo mswada na finance bill isipopita unamaana hakuna ambacho kitaendelea.nchi itastuck na kodi hazitatozwa.
Kwa watu wenye uelewa mfupi hawawezi kuona impact ya hayo maandamano hata kama hiyo itakuwa sheria. Hii inatoa inafanya wanasiasa wasizoee kutuka sheria za kukandamiza wananchi. Wakikaa kimya kama watanzania wanafanya viongozi wawaonee na kuja na sheria za kijinga kama wanavyofanya CCM.Halafu kuna watu wanaibeza Tanzania yetu kuwa eti watu hawaandamani.
Sasa hao mabwege wa nchi jirani wameamdamana na finance bill imepita. Daaadaaadeki
Ulishajiliuza ni kwa nini mtoto wako akifanya kosa unakaa naye na kumkaripia na hata kumchapa? Nadhani unajua kuwa unafanya hivyo kumfundisha. Na viongozi hivyo hivyo. Wananchi wanapokuwa hawa-express feeling zao, viongozi hulewa madaraka na kufanya watakacho bila kufikiria kabla ilivyo kwa Tanzania.Nilisema hili ,desturi ya kenya kama ufaransa ni maandamano na maandamano yote karne ya 21 duniani kote hayanaga muafaka...wanadamu wa karne hii tunabweka sana lkni hatunga'ti
Kura zipi hizo?..wanaweza kumuadhibu kwenye sanduku la kura.