Hata ikipitishwa ujue ni kwa ajili ya maandamano kuna marekebisho kadhaa ishaafanywa. Tena Ina maana serikali itakuwa na uangalifu fulani baadae kabla kufanya jambo linalowahusu raia!Halafu kuna watu wanaibeza Tanzania yetu kuwa eti watu hawaandamani.
Sasa hao mabwege wa nchi jirani wameamdamana na finance bill imepita. Daaadaaadeki
Sema wamebadili majina ya Vyama kuwaahadaa Mazombi
Kuna baadhi ya vipengee vimebadilishwa, kama sio haya maandamano bill ingepitishwa katika hali yake halisi ambayo ilikuwa kandamizi zaidiHayo maandamano yameleta impact gani?
Tangu lini hao wakawa ndugu zako?.
..Watanzania tuna mengi ya kujifunza toka kwa ndugu zetu wa Kenya...
Tangu lini hao wakawa ndugu zako?
Sasa kwa nini usiwaige wacongo au waganda, kama unapenda kuiga iga hao unaowaita ndugu zako?..nchi zote majirani ni ndugu zetu Watanzania...
Sasa kwa nini usiwaige wacongo au waganda, kama unapenda kuiga iga hao unaowaita ndugu zako?
Acha kuzunguka mbuyu...tunaiga mazuri ya Kenya, mabaya tunayaacha....
.
Na inakuja shida ngumu zaidi ya hii ya sasa, huu ni mtego kwa watawala.Ninavyowajua Wakenya hii haijaisha bado.
Unatamani huu uharibifu na mauaji yanayotokea Kenya sasa hivi?..nchi zote majirani ni ndugu zetu Watanzania.
..nchi zote majirani tuna muingiliano nao kimakabila, kilugha, na kiutamaduni.
..Kenya ndiyo nchi jirani yenye muingiliano mkubwa zaidi wa kiuchumi na Tanzania.
Muswada umepitaaa. Tanzania tujifunze nn Kwa Kenya Sasa?..Tanzania hata hilo imeshindikana.
..Watanzania tuna mengi ya kujifunza toka kwa ndugu zetu wa Kenya na haswa ktk kuwawajibisha wanasiasa na serikali.
Umewaita mabwege? Hao wabunge wataumizwa. Huu muswada utaathiri huo mhimili wote wa bunge.Halafu kuna watu wanaibeza Tanzania yetu kuwa eti watu hawaandamani.
Sasa hao mabwege wa nchi jirani wameamdamana na finance bill imepita. Daaadaaadeki
See at least our fellow East Africans have shown their reactions on the gvt stupidity unlike we who are just numb and embeciles1. Huko Kwa jirani pamoja na finance bill kupingwa Kwa maandamano kila kona Wabunge wameipitisha Kwa kishindo.
2. Muswada (finance bill 2024) unapelekwa kwenye Kamati, kisha uende Kwa Mhe. Dr Rais William S. Ruto (PhD) kuweka saini kwa ajili ya utekelezaji.
3. Tuna ya kujifunza hapa?
---
- Despite widespread protest in the country, the Kenyan Finance Bill 2024 has scaled second reading after being passed by a vote of 204 to 115 in the parliament.
- With this development, the bill will proceed to the committee stage and subsequently pass through a third reading after which the president will assent to it.
- The bill has encountered great resistance from the citizens due to concerns about its economic impact as it includes various new tax measures.
The Finance Bill 2024 was first presented in parliament in May proposing increased taxes and levies. This includes a 1.5% digital tax on local platforms that offer services such as online jobs, rentals, food delivery, and ride-hailing, subject to parliamentary approval.
A value-added tax (VAT) on electric bikes, buses, and solar and lithium-ion batteries is also included in the bill raising concerns from the Nairobi-based Associated Battery Manufacturers (ABM) that it will lead to increased cost of a 60-kilogramme solar battery in Kenya by $312 (45,000 Kenyan shillings).
Also, the plan to introduce a 6% Significant Economic Presence (SEP) Tax has generated uproar from the end of the ride-hailing companies as they fear that it will impede their operations and potentially force the ride-hailing apps to leave.
Meanwhile, as concerns about the bill grow, the president sees them as a way to improve the country's tax environment and pay down its debt.
Moreover, according to a report, the presidency announced it would remove several of the bill’s most controversial aspects, such as taxes on buying bread and owning cars.
Per the statement, “The Finance Bill has been amended to remove the proposed 16 per cent VAT on bread, transportation of sugar, financial services, foreign exchange transactions as well as the 2.5 per cent Motor Vehicle Tax.”
“Additionally, there will be no increase in mobile money transfer fees, and Excise Duty on vegetable oil has also been removed,” it added.
Amid this situation, Anonymous threatened to reveal “corrupt deals involving members of parliament (MPs)” if they decide to approve the Bill
Source: Techpoint.africa
Imesaidia nn Muswada unaenda kuwekwa Saini na Rais Ruto?See at least our fellow East Africans have shown their reactions on the gvt stupidity unlike we who are just numb and embeciles
Hawezi weka saini na hali ilivyo sasa, hicho kiti kimeshakuwa chamoto kwa sasa labda aombe hali itulieImesaidia nn Muswada unaenda kuwekwa Saini na Rais Ruto?
Kagoma vpUongo haijapitishwa rais kagomaaaa
Nilikuambia kwa Wakenya haijaisha hadi iishe. Haya Rais kagoma kutia saini.Muswada umepitaaa. Tanzania tujifunze nn Kwa Kenya Sasa?