Pamoja na Madhaifu yake, Rais Samia kakomaa Kidoplomasia ya Kinataifa kuliko Magufuli.

Pamoja na Madhaifu yake, Rais Samia kakomaa Kidoplomasia ya Kinataifa kuliko Magufuli.

Manzile

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
701
Reaction score
1,900
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
 
Magufuli alikua hapai angani lakin kila siku yupo kwenye vyombo vya habari vya nje kwa kazi aliyokua anafanya. Kipindi Magufuli yupo madarakani hadi wakenya, waganda na wanigeria na raia kutoka nchi nyingi duniani walikua wanatamni kua watanzania walikua wanatamani Magufuli awe rais wao. Huyu mwingine mpaka asafiri ndo anapewa air time vinginevyo hakuna chombo cha nje kinamripoti kwa kifupi habari zake haziuziki jopo lake wanahangaika sana kumtangaza lakini bado nehi nehi
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Yake madhaifu tafadhali
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Kwa faida ya nani?
 
Unamtaja Magufuli wa nini sasa?!!

Ni kweli ushindi wa Dr.Ndungulile umechagizwa na ubora wa mama Samia....

Zama za hayati JPM ilikuwa ni kujenga nchi....wewe huoni SGR ?!!
Bwawa la kufua umeme?!!
Ikulu chamwino ? Mji wa serikali Mtumba ? Flying overs ,kivuko cha Busisi na Kagongo ,uwanja wa ndege wa msalato ? Kituo cha mabasi Magufuli Mbezi hapo ? Soko la Ndugai n.k ?!!!

Resty easy El Commandante JPM amen amen [emoji7]

#Mh.Rais SSH anaupiga mwingi[emoji2956][emoji2956]
 
Watu kamwe hawatoacha mtaja Magufuli iwe kwa ubaya au kwa wema lazima atatajwa tu adi kizazi iki kipite
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
20240827_223650.jpg
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
View attachment 3080987
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Kwani Magufuli mwenyewe anasemaje kuhusu hili?

Tanzania haiboi kabisa maana wafu wanashindana na walio hai na mpambano ni mkali sana
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Rubbish, kimataifa kuleta wachuuzi kuuza mali asili za Tanganyika? Stop that nonsensne! Huyu nimjasiliamali wa Zanzibar tu! Uwe na akili za utu uzima
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Hatuna muda wa kushughulikia usalama wa hali na mali wa mbwa wapumbavu. Mtajijua wenyewe.
 
Ushindi wa Ndungulire Kwa asilimia kubwa umechagizwa na Rais Samia.

Rais alituma ujumbe kupitia waziri wa Afya Ummy mwalimu kuzunguka baadhi ya nchi za Africa ili ziiunge mkono Tanzania katika kinyang'anyiro hiki. Hatimaye Kashinda mbele ya Senegal, Nigeria na ndugu zake Niger.

Ushindi wa Spika Tulia kuwa Rais wa Umoja wa mabunge Duniani, Ulichagizwa Kwa kiasi kikubwa na mama pia.

Kuna Baadhi ya mambo sikubaliani nae ila Kidiplomasia ya Kimataifa, Rais Samia anaturudisha kwenye Ramani ya Kimataifa ambayo Jiwe alitutoa.

Nakuomba mama Imarisha usalama wa Raia na mali zake hapa nchini Sasa maana Hali ni Mbaya.

Hongera Kwa kutupeleka Kimataifa.
Magufuli lugha ya kiingereza ilikuwa kikwazo kama tulivyoshuhudia alipojaribu kwenda Zimbabwe, ilimlazimu rais wa Zimbabwe awe mkalimani wake! Bahati yule rais aliwahi kuishi Tanzania kabla ya Uhuru.
 
Rubbish, kimataifa kuleta wachuuzi kuuza mali asili za Tanganyika? Stop that nonsensne! Huyu nimjasiliamali wa Zanzibar tu! Uwe na akili za utu uzima
Mnyonge mnyongeni ila haki yake tumpe. Kuna mambo anafeli sikatai ila kimataifa mama yuko vizuri
 
Wabongo bwana wanapenda vya wenzao wakisikia WHO sijui AU sijui UN macho yanawatoka na wanaona kama ndio mtu katoboa wakati kiuhalisia haimsaidii chochote na uananchi wake wa kawaida

TUPENDE VYETU

VIVA JPM
 
Back
Top Bottom