Pamoja na majina yote, bado sifa zake zipo kila mahali!

Pamoja na majina yote, bado sifa zake zipo kila mahali!

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Naomba mniruhusu tu niandike haya machache! Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake.

Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupiga mwingi na kwamba mtangulizi wake alikuwa mbaya!" Ndipo mmoja wao akaanza kusifia hotuba za hayati na namna zilivyomgusa. Na akasema zilisikika karibu kila mahali. Na zilibeba hisia za wengi.

Ni kweli tumesikia mabaya yake mengi lakini ukweli ni kwamba hayajaweza kufuta mema yake.
 
Naomba mniruhusu tu niandike haya machache!
Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake. Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupifa mwingi kwamba mtangulizi wake alikuwa mbaya!"
Ndipo mmoja wao akaanza kusifia hotuba za hayati na namna zilivyomgusa. Na akasema zilisikika karibu kila mahali. Na zilibeba hisia za wengi.
Ni kweli tumesikia mabaya yake mengi lakini ukweli ni kwamba hayajaweza kufuta mema yake.
Wanawake hamnaga akili kichwani
 
Naomba mniruhusu tu niandike haya machache!
Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake. Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupifa mwingi kwamba mtangulizi wake alikuwa mbaya!"
Ndipo mmoja wao akaanza kusifia hotuba za hayati na namna zilivyomgusa. Na akasema zilisikika karibu kila mahali. Na zilibeba hisia za wengi.
Ni kweli tumesikia mabaya yake mengi lakini ukweli ni kwamba hayajaweza kufuta mema yake.
Apumzke kiongozi pekee wa Tabzania
 
Wanawake hamnaga akili kichwani
Umesemaaa?
Kwahiyo sasa hivi nchi inaongozwa kwa kutumia akili ya nani au ya wapi?
Maana umesema hatuna akili kichwani! Tuambie basi ziko wapi ili tuzitumie.

NB: Badala ya kutoa kashf, jitaahidi kujenga hoja. Ukweli ni kwamba hata mimi sikuwa namkubali saaana hayati, ila matendo yake na maono yake juu ya taifa, yalinifanya nimkubali
 
Naomba mniruhusu tu niandike haya machache! Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake.

Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupifa mwingi kwamba mtangulizi wake alikuwa mbaya!" Ndipo mmoja wao akaanza kusifia hotuba za hayati na namna zilivyomgusa. Na akasema zilisikika karibu kila mahali. Na zilibeba hisia za wengi.

Ni kweli tumesikia mabaya yake mengi lakini ukweli ni kwamba hayajaweza kufuta mema yake.
Hili liko wazi kabisa
 
Naomba mniruhusu tu niandike haya machache! Leo muda wa asubuhi nilimuagiza mtu wa 'bodaboda' aniletee vitu nilivyomuagiza. Walikuwa na mwenzake.

Baada ya salamu yule mwenzake akasema "hali ni ngumu sana" nikachomekea "nyie si mnasema mama anaupifa mwingi kwamba mtangulizi wake alikuwa mbaya!" Ndipo mmoja wao akaanza kusifia hotuba za hayati na namna zilivyomgusa. Na akasema zilisikika karibu kila mahali. Na zilibeba hisia za wengi.

Ni kweli tumesikia mabaya yake mengi lakini ukweli ni kwamba hayajaweza kufuta mema yake.
Waambie hao Bangosha wachape kazi wao ni maafisa usafirishaji.
 
Umesemaaa?
Kwahiyo sasa hivi nchi inaongozwa kwa kutumia akili ya nani au ya wapi?
Maana umesema hatuna akili kichwani! Tuambie basi ziko wapi ili tuzitumie.

NB: Badala ya kutoa kashf, jitaahidi kujenga hoja. Ukweli ni kwamba hata mimi sikuwa namkubali saaana hayati, ila matendo yake na maono yake juu ya taifa, yalinifanya nimkubali
Unafata upepo na biti huna hoja huyo Muuaji Jambazi katili that way nasema wanawake upstairs mpo 0% IQ
 
Nazungumzia hawa wanawake wa Wa darasa la Saba JF
Ili kuepuka hasira na makasiriko kuhusu huyu mwamba, jitahidi tu umpende. Utapata taabu sana ndg yangu. Magu was a really presidential material. He deserve to be proud of
 
Back
Top Bottom