Pamoja na majina yote, bado sifa zake zipo kila mahali!

Pamoja na majina yote, bado sifa zake zipo kila mahali!

Mafisadi na wajinga hapa jf waachwe wanune!

JPM ni mtu asiyesahaulika hata kwa hao mafisadi wenyewe na hao majuha wa vyeti feki
 
Ili kuepuka hasira na makasiriko kuhusu huyu mwamba, jitahidi tu umpende. Utapata taabu sana ndg yangu. Magu was a really presidential material. He deserve to be proud of
Acheni kumsifu is no more hata hawasikii maana mmezidi unatiq
 
Unafata upepo na biti huna hoja huyo Muuaji Jambazi katili that way nasema wanawake upstairs mpo 0% IQ
Kwa isivyo bahati, waliokuwa wanamzungumzia ni wanaume tena rijali kabisaaa! Sasa sijui wao walitumia akili za wapi!
Na waliongea kwa hisia kali
 
Kwa isivyo bahati, waliokuwa wanamzungumzia ni wanaume tena rijali kabisaaa! Sasa sijui wao walitumia akili za wapi!
Na waliongea kwa hisia kali
Watz % kubwa ni wajinga so usishangae kuhusu Hilo huyo muuaji anapata Kiki na snare
 
Sisemi kwa ubaya ila kuongozwa tafakuri na mawazo ya maboda boda ni ishara ingine tunapungukiwa

Hawa wanaofanya vituko juu ya vituko kila siku?
 
Sisemi kwa ubaya ila kuongozwa tafakuri na mawazo ya maboda boda ni ishara ingine tunapungukiwa

Hawa wanaofanya vituko juu ya vituko kila siku?
Kwahiyo sio watanzania? Au sio binadamu? Kumbuka wanaitwa maafisa usafarishaji.

Na wao wanaona kila kinachoendelea. Tatizo la viongoz wengi, huwadharau watu wa hali ya chini wakidhani hawana wajuacho.
Ninachoweza kukwambia ni kwamba, nchi nyingi zilizopinduliwa, viongozi wa mapinduzi walitoka tabaka la chini
 
Ili kuepuka hasira na makasiriko kuhusu huyu mwamba, jitahidi tu umpende. Utapata taabu sana ndg yangu. Magu was a really presidential material. He deserve to be proud of
Mtakuja na sifa zote mkidhani tumesahau tabia za dhalimu. Kipindi chake msemo wa vyuma kukaza ndio ilikuwa habari ya mjini. Ni hivi, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Kwa isivyo bahati, waliokuwa wanamzungumzia ni wanaume tena rijali kabisaaa! Sasa sijui wao walitumia akili za wapi!
Na waliongea kwa hisia kali
Kwahiyo unathibitisha kabisa kuwa Hao maboda ni marijali na tena unaisema kwa mbwembwe kabisa

Okay, Sawa
 
Back
Top Bottom