t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Mi nadhani ingekuwa ni vizuri mizigo yote ishushwe border , halafu kila mmoja atafute logistic za kumalizia safari akitumia watu wake Kwanza ingekuwa rahis kwa maderva wa Tanzania. Maana hakuna cha kubeba kutoka Rwanda huwa wanapeleka mizigo tu.
Halafu ni bonge la fursa ka wamiliki wa malori Tanzania mana gari za Rwanda tayari zimejaa Sana nchini na zinafanya kazi ambazo gari za Tanzania zingefanya.
Hatujajua kugeuza changamoto kuwa fursa, huu mgogoro ndio ulikuwa wakuutumia kujinufaisha ,
Sent
Halafu ni bonge la fursa ka wamiliki wa malori Tanzania mana gari za Rwanda tayari zimejaa Sana nchini na zinafanya kazi ambazo gari za Tanzania zingefanya.
Hatujajua kugeuza changamoto kuwa fursa, huu mgogoro ndio ulikuwa wakuutumia kujinufaisha ,
Sent