Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Niliwahi kusikia miaka ya zamani lissu akimtweza baba wa taifa mwalimu nyerere
Nikamueleza rafiki yangu kuwa huyu mtu hatafanikiwa kisiasa Tanzania,he will end up like siasa za mtikila
Mtikila mwishoni aligeuka laughing stock sio
Lkn nampongeza lissu kitu kimoja sio mfisadi hata kidogo
Kwa muda Sasa amekuwa akilaumu viongozi was chadema kuwa wamekula dola za kutosha
Je unadhani mzee chairman atakuwa amekunja ngapi
Nikamueleza rafiki yangu kuwa huyu mtu hatafanikiwa kisiasa Tanzania,he will end up like siasa za mtikila
Mtikila mwishoni aligeuka laughing stock sio
Lkn nampongeza lissu kitu kimoja sio mfisadi hata kidogo
Kwa muda Sasa amekuwa akilaumu viongozi was chadema kuwa wamekula dola za kutosha
Je unadhani mzee chairman atakuwa amekunja ngapi