Pamoja na mtambo no 9 kuwashwa, na kuwekwa, megawati 235, tatizo la umeme lazidi kuongezeka Tunduru

Pamoja na mtambo no 9 kuwashwa, na kuwekwa, megawati 235, tatizo la umeme lazidi kuongezeka Tunduru

Na ndiyo wapiga kura wa CCM
Nilikuwa namshushua tuu.Serikali ilisema kuwashwa mtambo ule itapunguza shida ya umeme Kwa 85% lakini sio uniformly.

Pili huko Tunduru Kuna njia ya kusafirisha umeme inajengwa kutoka Songea Hadi Masasi na ndio itapeleka umeme wa uhakika ikikamilika Sasa huyo jamaa hajui hayo?
 
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.

Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.

Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.

Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Sio huko tu
 
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.

Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.

Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.

Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Tunduru kaeni kwa kutulia, Umeme unahitajika sehemu zenye viwanda na walipa kodi wakubwa.
Hiyo tunduru nzima kwa ujumla wake mkikusanya kodi ni sawa na kodi ya kiwanda kimoja cha AZAM tena cha kutengeneza maandazi na chapati.
 
Hv ktk mgao huu uliokuwapo hasara kiasi Gani ilipatikana?Hasara ikijulikana itajenga uwajibikaji mzuri na kufanya wahusika wawe macho mapema kukwepa hasara.
 
Tunduru kaeni kwa kutulia, Umeme unahitajika sehemu zenye viwanda na walipa kodi wakubwa.
Hiyo tunduru nzima kwa ujumla wake mkikusanya kodi ni sawa na kodi ya kiwanda kimoja cha AZAM tena cha kutengeneza maandazi na chapati.
Ukitoa comment kwenye social media, ujue unatoa comment kwenye public ndugu yangu. Kwa hiyo jaribu kufikiria na kuwa makin kabla haujaandika. Unless otherwise uwe unaandika tu kama mtu usiyejitambua. Na hii nitamkumbuka Lowasa alisema elimu,!! Elimu!! My concern kubwa kuandika thread hii, ni kuhoji kwann juz wazir wa nishati alisema kuwa mtambo no. 9 umewashwa na ku supply megawatts 235 kwenye grid ya Taifa na kwamba sasa umeme uta kuwa history. Lakin baada ya siku mbili hatuoni umeme. Je, wazir katudanganya??Sasa, ww chawa unapokuja na hoja kuwa umeme unahitaji tu sehemu za viwanda huoni unaongea pumba?? Na hajitambui. Yaan kwa kutumia JF tu, na kusoma comments za watu, utaona kama Taifa tumeshaanguka. Vijana wengi hawana IQ za kusaidia taifa.
 
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.

Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.

Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.

Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Hizi mg 235 ni kwa ajili ya watanzania, nyie wa mipakani subirini kwanza utoshe huku TZ.
 
Nilikuwa namshushua tuu.Serikali ilisema kuwashwa mtambo ule itapunguza shida ya umeme Kwa 85% lakini sio uniformly.

Pili huko Tunduru Kuna njia ya kusafirisha umeme inajengwa kutoka Songea Hadi Masasi na ndio itapeleka umeme wa uhakika ikikamilika Sasa huyo jamaa hajui hayo?
Hatari sn
 
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.

Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.

Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.

Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Tatizo la umeme ni zaidi ya unavyoambiwa
 
Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.

Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.

Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.

Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.

Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Hii nchi kila kitu ni siasa, kama wanasiasa walisema upungufu wa umeme utaisha mara baada ya kuwasha kinu namba 9, na kimeshawashwa na bado mgao upo, lazima tuanze kuamini kuwa yamkini tumepigwa. Kauli ya awali ilikuwa ya kisiasa na matokeo yake yatakuwa ya KISIASA. MUNGU Isaidie nchi yangu Tanzania
 
Back
Top Bottom