Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wananchi wanapewa umeme kama hisani na siyo hitaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiyo wapiga kura wa CCMHuko maporini mtakuwa wa mwisho kupatiwa umeme
Nilikuwa namshushua tuu.Serikali ilisema kuwashwa mtambo ule itapunguza shida ya umeme Kwa 85% lakini sio uniformly.Na ndiyo wapiga kura wa CCM
Sio huko tuHali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.
Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.
Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.
Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Tunduru kaeni kwa kutulia, Umeme unahitajika sehemu zenye viwanda na walipa kodi wakubwa.Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.
Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.
Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.
Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Kule Chunya ni sawa na Tunduru
Ukitoa comment kwenye social media, ujue unatoa comment kwenye public ndugu yangu. Kwa hiyo jaribu kufikiria na kuwa makin kabla haujaandika. Unless otherwise uwe unaandika tu kama mtu usiyejitambua. Na hii nitamkumbuka Lowasa alisema elimu,!! Elimu!! My concern kubwa kuandika thread hii, ni kuhoji kwann juz wazir wa nishati alisema kuwa mtambo no. 9 umewashwa na ku supply megawatts 235 kwenye grid ya Taifa na kwamba sasa umeme uta kuwa history. Lakin baada ya siku mbili hatuoni umeme. Je, wazir katudanganya??Sasa, ww chawa unapokuja na hoja kuwa umeme unahitaji tu sehemu za viwanda huoni unaongea pumba?? Na hajitambui. Yaan kwa kutumia JF tu, na kusoma comments za watu, utaona kama Taifa tumeshaanguka. Vijana wengi hawana IQ za kusaidia taifa.Tunduru kaeni kwa kutulia, Umeme unahitajika sehemu zenye viwanda na walipa kodi wakubwa.
Hiyo tunduru nzima kwa ujumla wake mkikusanya kodi ni sawa na kodi ya kiwanda kimoja cha AZAM tena cha kutengeneza maandazi na chapati.
Mkuu hata kama haujamalizika 100% ila 85% sio ya umeme kutopatikana siku nzima.Kinu kimoja kimepunguza makali tu kwa 85%, sio kuwa mgao ndio umemalizika kwa 100%
Hizi mg 235 ni kwa ajili ya watanzania, nyie wa mipakani subirini kwanza utoshe huku TZ.Hali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.
Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.
Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.
Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Mkuu hata kama haujamalizika 100% ila 85% sio ya umeme kutopatikana siku nzima.
Mnapata umeme toka Zambia au....Sisi hapa vwawa/mbozi hata hatujui kama Kuna mgao au hakuna maana umeme haujawahi kukatika
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hatari snNilikuwa namshushua tuu.Serikali ilisema kuwashwa mtambo ule itapunguza shida ya umeme Kwa 85% lakini sio uniformly.
Pili huko Tunduru Kuna njia ya kusafirisha umeme inajengwa kutoka Songea Hadi Masasi na ndio itapeleka umeme wa uhakika ikikamilika Sasa huyo jamaa hajui hayo?
Si wa Zambia huoSisi hapa vwawa/mbozi hata hatujui kama Kuna mgao au hakuna maana umeme haujawahi kukatika
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
KabisaHizi mg 235 ni kwa ajili ya watanzania, nyie wa mipakani subirini kwanza utoshe huku TZ.
Tatizo la umeme ni zaidi ya unavyoambiwaHali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.
Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.
Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.
Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.
Hii nchi kila kitu ni siasa, kama wanasiasa walisema upungufu wa umeme utaisha mara baada ya kuwasha kinu namba 9, na kimeshawashwa na bado mgao upo, lazima tuanze kuamini kuwa yamkini tumepigwa. Kauli ya awali ilikuwa ya kisiasa na matokeo yake yatakuwa ya KISIASA. MUNGU Isaidie nchi yangu TanzaniaHali ya umeme, kukatika kila saa imeendelea kuwa tatizo gumu na mfupa mgumu katika wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma licha ya, Serikali juzi kutangaza kuwasha mtambo no 9 na kuweka megawatt 235 katika gridi ya Taifa.
Baadhi ya, wakaazi wa Tunduru wameonyesha wasiwasi wao mkubwa kwa shirika la umeme wilaya Tunduru, kuwa uenda wanafanya hujuma kubwa kwa serikali ya Dkt. Samia.
Jana usiku tumelala bila umeme, kutoka saa, nne usiku mpaka asub, na sababu zao wanazotoa ni kwamba nguzo zimeanguka.
Hii siyo sawa kabisa. Alisema mkazi huyo. Wakaazi hao wamemwomba naibu wazir mkuu na wazir wa, nishati kuchukua hatua kali kwa hawa wafanyakaz wazembe, wanaoiangusha serikali ya Dkt. Samia.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hii umedhibitisha kuwa, mikoa yote ya Tanzania na wilaya zake kwa sasa tatizo la umeme limekwisha.