Pamoja na mtambo no 9 kuwashwa, na kuwekwa, megawati 235, tatizo la umeme lazidi kuongezeka Tunduru

Kweli kabisa, hapa hazihitajiki blah blah ambazo wengi wanazo.
Maelezo yanahitajika mafupi na ya kujitosheleza;
Mahitaji ya jumla ya umeme nchini ni megawatts....... .....
Sasa hivi uzalishaji ni megawatts.......
Tunayo ziada au upungufu wa megawatts..............
Nyingine zote ni porojo za kijuha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…