Richard R Monyo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 242
- 265
- Thread starter
-
- #61
AiseeMJ alikua entertainer mzuri lakini linapo kuja swala la mziki Bob is trillion of miles ahead.
MJ kabla huja mlinganisha na Bob ina takiwa awe bora zaidi ya akina Lionel Rich.
Acha utotoHahaha mbona povuu
Acha ujinga basi!Hahaha mbona povuu
Well said mkuu dataAcha ujinga...
Umeanzisha uzi...ungetuacha tutoe maoni...
Sasa kuna maana gani kuanzisha uzi ilhali ushachagua upande.
NASISITIZA...
MWACHENI BOB AITWE BOB.....
Nothing compares to him.
Acha utani[emoji23][emoji23]Bob is everything na Mziki wake unaishi katika mabara yote na hata watu wa chini kabisa
HahahahaAcha ujinga basi!
Umeanzisha mada acha watu wachangie kwa uhuru wao,kama hutaki kupingwa kua Bob ni Zaidi ya Mj kwanini ulianzisha hii thd?
Siku nyingine unapokua una jambo jadili na watu wa nyumbani kwenu kuliko kutuletea utoto humu,JF ni home of great thinkers.
Imagine ngoma kama Dont care about us... Wacko jacko hahahaBob....
hebu imagine ngoma kama ' no woman no cry'!!!!!!!!!!
[emoji122][emoji122][emoji122]Dunia Bado haijamiliki Mwanamuziki maarufu wa kufikia viwango bya Wacko Jack kabla Na baada ya Mchawi huyo
hahahaWacko jackal ni kama Cr7
Acha Kumfananisha MJ Na UtumboAcha kumlinganisha Bob na upumbavu.....
MJ Ni Philanthropist, Humanist, Entertainer,Acheni kumvunjia Bob heshima kumlinganisha na choko huyu....
Bob ni kati philosophers waliowahi ishi duniani...
Messages ktk nyimbo zake ni lectures...
Acheni masihara kabisa...
Hahaha woyooooImagine ngoma kama Dont care about us... Wacko jacko hahaha
HahahahahaAcha Kumfananisha MJ Na Utumbo
Waambiee mkuuMJ Ni Philanthropist, Humanist, Entertainer,
Ujumbe Wake Kwenye Nyimbo Ni Mkubwa