Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

Pamoja na mziki wao kuwa tofauti je kati ya Michael Jackson na Bob Marley nani alikubalika zaidi ulimwenguni

Bob is everything na Mziki wake unaishi katika mabara yote na hata watu wa chini kabisa
Acha utani[emoji23][emoji23]
michael-jackson-6f196687-db38-4faf-a69d-2516eadbdfa7.jpeg
 
Acha ujinga basi!

Umeanzisha mada acha watu wachangie kwa uhuru wao,kama hutaki kupingwa kua Bob ni Zaidi ya Mj kwanini ulianzisha hii thd?

Siku nyingine unapokua una jambo jadili na watu wa nyumbani kwenu kuliko kutuletea utoto humu,JF ni home of great thinkers.
Hahahaha
 
Acheni kumvunjia Bob heshima kumlinganisha na choko huyu....

Bob ni kati philosophers waliowahi ishi duniani...

Messages ktk nyimbo zake ni lectures...

Acheni masihara kabisa...
MJ Ni Philanthropist, Humanist, Entertainer,
Ujumbe Wake Kwenye Nyimbo Ni Mkubwa
 
Back
Top Bottom