Pamoja na NAPE kukiri kuwa Lissu ni mjomba wake; hakuwahi kulaani mjomba kupigwa risasi (tukumbuke mjomba ni mama)

Sio kulaan tu hata kendal kumfaliji tu alipokua hospital na hata alipotoka, nadhani unafki ndo unamsumbua.
 
Nape mbele ya madaraka yupo tayari kuua wazazi na watoto wake wote iliapate tu maslahi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…