Pamoja na Simba sc kuongoza ligi lakini Yanga wana nafasi kubwa ya kuwa bingwa

Hesabu rahisi tu. Wacha Yanga ashinde mechi zake zote na Mnyama unyamani naye anashinda mechi zake zote. Simba haihitaji kucheza michezo miwili at per kama yanga (ashinde na aombe simba afungwe).
Msimu huu lazima kieleweke. Mnyama bingwa
Usipigie simba na yanga tu kushinda michezo yao yote na wengine pia wamekuja kushindana. Hizo hesabu zako za simba na yanga washinde michezo yote ni irrelevant kama mwana michezo huwezi kupiga hesabu hizo.

Yanga haombi simba afungwe wala adroo yanga anafocus kushinda michezo yake. Mambo ya kuomba eti mwenzako apate matokeo mabovu hakuna kwenye mpira bali kugangamala upate ushindi. Ingekua hivyo tungekua tunaenda makanisani na misikitin.

After all sijampa Yanga 100% ya kuwa bingwa.

BTW kesho zamu yenu wa matopeni kujipapatua.
 
Wewe jamaa nakusubiri mwisho wa msimu Simba tukishabeba ndoo yetu. Walahi nitakutukana mpaka nipigwe ban. Sasa hivi ngoja nikuangalie tu.
Simba taifa kubwa. Mabigwa pasi na shaka2016/2017
[emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39] Mkuu matusi ya nini sasa? Mkichukua mtapongezwa tu kwa kupambana. Miaka 5 ya utalii kwenye ligi sio kitu kizuri inabidi mpongezwe mkichukua.

Usipanic sana mkuu, Kesho zamu yenu na nyinyi kujipapatua.
 
[emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39] Mkuu matusi ya nini sasa? Mkichukua mtapongezwa tu kwa kupambana. Miaka 5 ya utalii kwenye ligi sio kitu kizuri inabidi mpongezwe mkichukua.

Usipanic sana mkuu, Kesho zamu yenu na nyinyi kujipapatua.
Hata sijakutukana bado. Ila siku hiyo natoka taifa nitakua nakutukana hadi nafika msimbazi kudadeki😀😀😀
 
Hata sijakutukana bado. Ila siku hiyo natoka taifa nitakua nakutukana hadi nafika msimbazi kudadeki😀😀😀
We jamaa sio mzima....Huna haja ya kutukana unatakiwa kujipongeza..

Kwa mfano asipochukua utafanyaje sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
We jamaa sio mzima....Huna haja ya kutukana unatakiwa kujipongeza..

Kwa mfano asipochukua utafanyaje sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Tusipochukua sijui nitajifichia wapi mimi...eeeh Mungu epusha lisitokee hili la Simba kukosa ubingwa mwaka huu!
 
Tusipochukua sijui nitajifichia wapi mimi...eeeh Mungu epusha lisitokee hili la Simba kukosa ubingwa mwaka huu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu, Mungu asikie maombi yako maana umemlilia kweli kweli......mpaka umekua Baba Mpole na si Baba Mkali tena
 
Yanga kuwa bingwa ni jambo la kawaida lkn kwa simba ni jambo kubwa sana hasa kutokana na miaka ya hivi karibuni kutoka patupu na tukiangalia kiufundi simba anauwezekano Mkubwa wa kuchukua kwa fomu walokuwa nayo tofauti na timu yangu yanga ambapo kwa sasa ipo katika wakati ngumu, na hii inachangiwa na wachezaji wengi muhimu wa kikosi cha kwanza kusumbuliwa na majeruha lakini pia na uchovu ulosababishwa na kucheza kwa misimu miwili bila mapumziko na kasumba ya timu nyingi zinazochukua ubingwa mfululizo kukosa hali ya ushindi.
 


Mpira Hauchezwi Kwa Hesabu Za Vidole....
 
Jamaa uliona mbali sana asee..Yanga bingwa
 
Mkuu Simba hawa hawa au wengine? Leo washavutwa sharubu huko kaitaba.....Utabiri unaweza kutimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…