Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 953
- 1,304
- Thread starter
- #21
Hili lilikua tatizo kubwa sana Eddo Kumwembe alilisema mwanzoni kabisa mwa msimu akasema simba inaweza kuja kuwa-cost. Wapanga ratiba wanapaswa kuliangalia hili piaUsikute kipindi Simba anacheza nyumbani mfululizo ulikuwa unachekelea mpaka jino la mwisho.