Pamoja na Simba sc kuongoza ligi lakini Yanga wana nafasi kubwa ya kuwa bingwa

Pamoja na Simba sc kuongoza ligi lakini Yanga wana nafasi kubwa ya kuwa bingwa

Ha ha ha haaa.. Umenipa raha sana mkuu, ngoja waje, ila binafsi nawaogopa sana Azam na Mbeya city, hawa Mbeya city alivyotukazia kule mbeya ile november ilikua hatari sana,
Mkuu Azam kashaliwa kichwa....
 
Naona leo mmekutana na Arosto zenu! Mechi ya leo Yanga atapigwa 2 kavu. Tukutane hapa baada ya mechi maana mnachonga kama vila Azam ni timu ya matopeni.
Haya tumekuja kwenye kikao ulichoitisha mkuu
 
Kwa 98% Simba bingwa. Sasa hivi timu ipo kwenye kiwango cha juu na ina morali pia simba ana uwezo mkubwa sana kushinda mechi nje ya Dar na ukiangalia Hana mechi ngumu! Jiulize yanga anatoboza vipi kwa azam, mbeya city? Na Hata prison?MYANYAMA BINGWA
Ok
 
Kuna watu wana mawazo kwamba Simba anaweza kuwa bingwa 'NEVER'.
Wewe jamaa nakusubiri mwisho wa msimu Simba tukishabeba ndoo yetu. Walahi nitakutukana mpaka nipigwe ban. Sasa hivi ngoja nikuangalie tu.
Simba taifa kubwa. Mabigwa pasi na shaka2016/2017
 
Mkuu nilikuambia umeona sasa mwali kagoma na shela lake?
Hesabu rahisi tu. Wacha Yanga ashinde mechi zake zote na Mnyama unyamani naye anashinda mechi zake zote. Simba haihitaji kucheza michezo miwili at per kama yanga (ashinde na aombe simba afungwe).
Msimu huu lazima kieleweke. Mnyama bingwa
 
Back
Top Bottom