Huko ileje...ulkua unaogopa fisi,wasiojulikana wakufate wew maskin na fukara wa kila kitu?Hofu Imetoweka
Wakati huu hata nikisikia kelele nje ya nyumba/geti najua kabisa hawa ni vibaka au wanga wapo kwenye mbishe zao, na ninao uwezo wa kufungua mlango na kutoka nje kuangaza macho kulikoni.
Enzi za Bwana yule, kwa sababu ya watu ninaohusiana nao kijamii na kikazi nilikuwa na hofu kabisa nikishaingia ndani ya nyumba saa 1 jioni sitoki hadi kesho, manake hatukujua Wasiojulikana tutakutana nao wapi, ahsante Mungu kwa kuruhusu upepo ule upite na waliouumba.
Tozo, bidhaa bei juu lakini bora kipi? BORA UHAI.
Ahsante Samia[emoji120][emoji8]
Tozo zimejufanya nini kwani?Hofu Imetoweka
Wakati huu hata nikisikia kelele nje ya nyumba/geti najua kabisa hawa ni vibaka au wanga wapo kwenye mbishe zao, na ninao uwezo wa kufungua mlango na kutoka nje kuangaza macho kulikoni.
Enzi za Bwana yule, kwa sababu ya watu ninaohusiana nao kijamii na kikazi nilikuwa na hofu kabisa nikishaingia ndani ya nyumba saa 1 jioni sitoki hadi kesho, manake hatukujua Wasiojulikana tutakutana nao wapi, ahsante Mungu kwa kuruhusu upepo ule upite na waliouumba.
Tozo, bidhaa bei juu lakini bora kipi? BORA UHAI.
Ahsante Samia🙏😘
Panya road siyo Tatizo la Samia Bali ni tatizo la jamii yenyewe. Ni watoto wenu ambao mumewalea vibaya. kwa Magufuli siyo hivyo. Yeye alimiliki mwenyewe kundi la WASIOJULIKANA ambalo lilikuwa linafanya kazi chini ya Makonda na Sabaya. Lilikuwa linateka, linajeruhi na ikibidi linaua wale wote linaoona wanamkosoa Rais. Ndiyo maana hata uchunguzi wa mauaji ya akina Ben Saanane au Azory au utekwaji wa akina Roma haukuwahi kuchunguzwaWasiojulikana walikua hawavamii watu usiku kwa kuvizia. Walikua wakikutaka, wanakufuata mchana kweupe hata ofisini kwako!
Wanaovizia watu usiku ni hawa Panya road ambao wamezidi kua maarufu awamu hii. Siku nyingine ukiamua kumsifia "mama", msifie tu bila kumpondea Magufuli.
Awamu zote ziko na vituko vyake!