Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], a daydream.
John Boko El Captino Fantastico!Kwa fowadi gani?
Simba hii hii gonjwa iwe Mabingwa wa shirikisho! My foot!!😎Naomba mtunze hii kumbukumbu, pamoja na udhaifu tunaouona kwa timu ya Simba, hawa ndio mabingwa wa kombe la shirikisho 2022.
Tunza hii..
Uzi huu niliandika Januari 27 wakati Simba ikiwa haieleki na inafanya vibaya katika ligi ya ndani.Naomba mtunze hii kumbukumbu, pamoja na udhaifu tunaouona kwa timu ya Simba, hawa ndio mabingwa wa kombe la shirikisho 2022.
Tunza hii..
Kwenye soka lolote linawezekana..sikupingi mkuu.Uzi huu niliandika Januari 27 wakati Simba ikiwa haieleki na inafanya vibaya katika ligi ya ndani.
Tunza kumbukumbu hii..
Mmeanza!😅😅😅Mnaroho ngumuuuNinachojua Simba keshatolewa na orando pirates robo fainali,tunza hii taarifa.
orando ni timu ya wapi?Ninachojua Simba keshatolewa na orando pirates robo fainali,tunza hii taarifa.
South Africaorando ni timu ya wapi?
South Africa hakuna timu inaitwa orando.South Africa
Mugalu yupi inayemsema? Subiri pumzi ya moto iwaunguze [emoji91][emoji91][emoji91]Kwamba Mzamiru, Bocco Na Mugalu Ndo Watawapa Huo Ubingwa [emoji23]
Orando pirates ni timu ya wapi? wanacheza kombe gani?Ninachojua Simba keshatolewa na orando pirates robo fainali,tunza hii taarifa.
Basi orlando furahi sasaSouth Africa hakuna timu inaitwa orando.