Pamoja na ufaulu kupanda, shule za kata Dar hali ni mbaya, Division Zero ni nyingi sana, Afisa Elimu aondolewe

Pamoja na ufaulu kupanda, shule za kata Dar hali ni mbaya, Division Zero ni nyingi sana, Afisa Elimu aondolewe

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
matokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.

Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.

Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?
IMG_5116.jpeg


IMG_5118.jpeg


IMG_5117.jpeg


IMG_5124.jpeg


IMG_5122.jpeg


Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
 
Ndugu yangu LIKUD unaonaje hiyo shule ya Kitunda ni kayumba inayomfaa mwanao maana wewe hutaki EM schools.

Wakati mwanao anaambulia miswaki wewe unamfanyia "uwekezaji" ili usitumie hela bure kulipa ada. Akitoka hapo na zero, aje awashinde wale kina St. Francis kwenye ufaulu wa chuo cha ndotoni, maana kwa matokeo hayo chuo kikuu its likely atakisikia kwenye redio. Labda ianzishwe kozi ya uyaya.
 
Ndugu yangu LIKUD unaonaje hiyo shule ya Kitunda ni kayumba inayomfaa mwanao maana wewe hutaki EM schools.

Wakati mwanao anaambulia miswaki wewe unamfanyia "uwekezaji" ili usitumie hela bure kulipa ada. Akitoka hapo na zero, aje awashinde wale kina St. Francis kwenye ufaulu wa chuo cha ndotoni, maana kwa matokeo hayo chuo kikuu its likely atakisikia kwenye redio. Labda ianzishwe kozi ya uyaya.
Tabora boys wana one 104
 
Ndugu yangu LIKUD unaonaje hiyo shule ya Kitunda ni kayumba inayomfaa mwanao maana wewe hutaki EM schools.

Wakati mwanao anaambulia miswaki wewe unamfanyia "uwekezaji" ili usitumie hela bure kulipa ada. Akitoka hapo na zero, aje awashinde wale kina St. Francis kwenye ufaulu wa chuo cha ndotoni, maana kwa matokeo hayo chuo kikuu its likely atakisikia kwenye redio. Labda ianzishwe kozi ya uyaya.
Baada ya kufika chuo kikuu nini kinafuata ?
 
Shule za kina LIKUD hizi
Unaambiwa kulipa ada ni matumizi mabaya ya fedha. Eti "ufanye uwekezaji" huku mwanao analima miswaki na zero zisizohesabika, wewe unamnunulia vipande vya 20×20 eti chuo atakutana nao hao kina St. Francis.

Mwisho wa siku unakula za uso, anatoka anastahili fani ya uyaya na umamantilie posho alfu tano kwa siku😂
 
Back
Top Bottom