zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kinachofuata ni kuwaambia wale wakuda watoe ajira kwa vijanaBaada ya kufika chuo kikuu nini kinafuata ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachofuata ni kuwaambia wale wakuda watoe ajira kwa vijanaBaada ya kufika chuo kikuu nini kinafuata ?
Mwanao ametaga na wewe au?Inasikitisha sana
Hao Kitunda sekondari wanaenda chuo kikuu kuuza ubuyu au kitu gani?Baada ya kufika chuo kikuu nini kinafuata ?
Huyo anayefika chuo anajitofautisha vipi na huyo aliyepata zero kwa sasa Tanzania ? Au kujitolea kufundisha bure ?Unaambiwa kulipa ada ni matumizi mabaya ya fedha. Eti "ufanye uwekezaji" huku mwanao analima miswaki na zero zisizohesabika, wewe unamnunulia vipande vya 20×20 eti chuo atakutana nao hao kina St. Francis.
Mwisho wa siku unakula za uso, anatoka anastahili fani ya uyaya na umamantilie posho alfu tano kwa siku😂
Maafisa elimu hawana makosa wenye makosa hapo ni ma head ticha, watch outKweli kabisa wakiwa leftisha wengine watajifunza kufanya kazi kwa bidii
Hao wanaoenda chuo kikuu wakitoka wanakuja kuuza ukwaju wa bakhresa na hao wa kitunda,kusajili laini na hao wa kitunda, kukimbiza boda boda na hao wa kitunda, kuwa wachekeshaji mitandaoni na hao wa kitunda au nakosea ?Hao Kitunda sekondari wanaenda chuo kikuu kuuza ubuyu au kitu gani?
Si ufafafanue mkuu unaogopa nini na tunatumia ID fwekiMaafisa elimu hawana makosa wenye makosa hapo ni ma head ticha, watch out
Hao wanafunzi wamefili sababu walimu wao wamegoma kuwafaulisha, elewa neno kuwafaulishaAfisa elimi ndio anasomea wanafunzi, tatizo mfumo wetu wa elimu ni mbovu kwanzia ngazi ya chini hadi juu mavyuoni, ni elimu ambayo ni pyramid.
Wamegoma kuwafaulishaSi ufafafanue mkuu unaogopa nini na tunatumia ID fweki
Shuke za Kata mazingira ya kujifunzia ni mabaya.matokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.
Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.
Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?View attachment 3211475
View attachment 3211479
View attachment 3211481
View attachment 3211491
View attachment 3211492
Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Ambazo azipo au aanze kulamba matako ya wanaccm na kuanza kuvaa gwanda za uvccm akivizia vizia posho za uchawaKinachofuata ni kuwaambia wale wakuda watoe ajira kwa vijana
Ajira hakuna na siku hizi ajira imegeuka kua bahatiHao wanaoenda chuo kikuu wakitoka wanakuja kuuza ukwaju wa bakhresa na hao wa kitunda,kusajili laini na hao wa kitunda, kukimbiza boda boda na hao wa kitunda, kuwa wachekeshaji mitandaoni na hao wa kitunda au nakosea ?
Wamegoma kivipi hajapewa takrimaWamegoma kuwafaulisha
Ndio kilichobaakia hicho akaimbe singeli sasaAmbazo azipo au aanze kulamba matako ya wanaccm na kuanza kuvaa gwanda za uvccm akivizia vizia posho za uchawa
Hiyo kitunda ukiangalia uwingi wa wanafunzi,mazingira na vitendea kazi vya walimu,naipa points nyingi zaidi ya shule 10 bora,imagine ina wanafunzi zaidi ya 600,walimu awazidi 15 tena walimu wenye stress za mikopo wamepata 1 to 3 wanafunzi zaidi ya 80matokeo ya form four kwa mwaka 2024 yametangazwa leo.
Kwa mujibu wa baraza la mitihani, ufaulu umepanda kwa asilimia tatu.
Ila huku kwenye shule za kata hali mbaya. Unakuta nusu ya wanafunzi wamefeli vibaya mno katika shule husika.
Mfano shule kama Kitunda hali ni mbaya, wanafunzi 249 wamepata division zero. Unajiuliza hii shule ina uongozi kweli? Afisa Elimu nae analipwa mshahara kabisa? Nini kifanyike wakuu?View attachment 3211475
View attachment 3211479
View attachment 3211481
View attachment 3211491
View attachment 3211492
Soma: NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Bora huyo wa kitunda aliyepata zero.Ajira hakuna na siku hizi ajira imegeuka kua bahati
Bora huyo wa kitunda aliyepata zero.Ndio kilichobaakia hicho akaimbe singeli sasa