Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Hiki ndicho tunachofanya, kumjulisha Mama kama tunataka Spika bora, Chenge ndie Spika bora, lakini kama tunataka bora Spika, then tumchague mwingine yeyote!.
Tanzania ya sasa, deserves the best!.
P
Mkuu P, sidhan kma mama ambye ni mwenye kiti akubali kukichukua kinyago ambacho hawezi kuki control, atatafuta mdhaifu atakaye tii amri zake, Chenge hawezi kukubali kuburuzwa pmja na madhaifu yake aliyo nayo ana uthubutu wa kukitambua cheo chake kma muhimili tofauti, tutaletewa Bora Spika lkn si Spika Bora!
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
Mimi na sisitiza ni stupid stupid stupid
 
Mimi na sisitiza ni stupid stupid stupid
Naheshimu mawazo yako, na huu ndio uzuri wa mitandao ya jamii, sisi jf tukiwemo, you might be arguing with a fool without noticing, hivyo comments za namna zinatusaidia sana kubaini the stupidity among us. Thanks.
P
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
Sisi sio ignorant pekee sisi tumerogwa.
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
wabunge hawahawa ninao wajua mimi,akina doctor kasheku ambao hawana tofauti na ma professor wa ukweli, kwa ujumla ibilisi alisahau mkoba wake hapa, mpaka siku atakapokuja kuuchukua ndio nchi itajitambua.
 
Ok chenge ni fisadi ulishawah kusikia ameshtakiwa?
Chenge alishawah kusema hakuna mtu wa kumshtaki kisheria hata mmoja why kwa sababu ni the best mwanasheria tuliyenae kwa nchi hii
Lile zee linaijua sheria kuliko k ya mke wake ndg
Anafaa kuwa speaker 100% kwa sababu ana misimamo halisi sio bendera fata upepo
Huyu mama makucha aliyoonesha anapaswa akutane na speaker ambaye hataruhuusu mama acontroll bunge
Good una hoja za msingi sn
 
Chenge ni mtu wao.

Na sasa wao ndiyo wanaserikali. Natarajia kuona akirudi,labda tu iwe wamemchoka.

Wametoka naye mbali, anazijua formula vizuri.

Kwa nini wamuache mtu wa kuwasaidia.

Ufisadi wa chenge unautenganishe na Ikulu?
Yeye kuwa sehemu hiyo alikuwa ni njia tu,bado wangeweza mkwepa na maisha ya kaendelea.

Binafsi simhukumu moja kwa moja kuhusu ufisadi. Ile ilikuwa chain, lazima angepitiwa na upepo.
Hakuna mwenye ushahidi kuwa Chenge ni fisadi
 
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
umekiri mwenyewe ananukia ufisadi halafu unasema anafaa,mkuu mbona sikuhizi Kama unayumba Sana ,nn kimekukuta kiongozi!!!
 
Ok chenge ni fisadi ulishawah kusikia ameshtakiwa?
Chenge alishawah kusema hakuna mtu wa kumshtaki kisheria hata mmoja why kwa sababu ni the best mwanasheria tuliyenae kwa nchi hii
Lile zee linaijua sheria kuliko k ya mke wake ndg
Anafaa kuwa speaker 100% kwa sababu ana misimamo halisi sio bendera fata upepo
Huyu mama makucha aliyoonesha anapaswa akutane na speaker ambaye hataruhuusu mama acontroll bunge
Chenge ni mwenzake na Msoga!

Kumkabidhi Chenge bunge ni sawa na kuukabidhi mhimili mwingine mikononi mwa mafisadi wa Richmond na Escrow

Tayari wanamdhibiti mama, leo kigogo yuko kwenye baraza la mawaziri.

Hivi mnatuonaje watanzania.

Huyu mzee alikwishafuka vya kutosha na anastahili kukaa na kufurahia udhaifu wa sheria na katiba yetu.
Vinginevyo alistahili kuwa kwenye viunga vya mahakama kama sio jela.

Bado ile kashfa ya mke wake kutumia na kuendesha gari lisilokuwa na Bima na kisha kuwagonga na kuwaua wasichana aliokuwa akiwatuhumu kuwa mmojawao alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mzee huyu wa vijisenti.

Hii ilikuwa mwaka 2009.

Chenge kwa kutumia nafasi na na madaraka.

Alimuondoa mke wake kutoka eneo la ajali na kuuvaa uhusika wa ajali ile kwamba aliendesha yeye.

Baadae aliyamaliza nje ya mahakama nafamilia ya yule binti marehemu, aliyekuwa mfanyakazi wa New Mwanza Hotel. [emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20220113-121528_Chrome.jpg
 
umekiri mwenyewe ananukia ufisadi halafu unasema anafaa,mkuu mbona sikuhizi Kama unayumba Sana ,nn kimekukuta kiongozi!!!
Pasco ni mnafiki.
Alimpigia chapuo Tulia alipochukua fomu.

Baada ya Chenge kuchukua fomu,akahamia kwake.

Lengo lake anataka akipita mmoja wapo kati ya hao,afufue uzi wa mmoja wapo kati ya hao ili ajisifie kuwa na yeye nae ni mtabiri.

Ataki kupitwa na jambo.
 
Pasco ni mnafiki.
Alimpigia chapuo Tulia alipochukua fomu.

Baada ya Chenge kuchukua fomu,akahamia kwake.

Lengo lake anataka akipita mmoja wapo kati ya hao,afufue uzi wa mmoja wapo kati ya hao ili ajisifie kuwa na yeye nae ni mtabiri.

Ataki kupitwa na jambo.
Na bahati mbaya kila mkeka hawamuoni,sijui kwa nini tu!

Ila nadhani walikwisha mscreen na ku-mzoom hivyo wanamuelewa kuliko sisi.
 
Ifike mahali hili Taifa tuwe serious,hivi kweli tunajua mtu ni fisadi na ufisadi wake anaufanya kwa kutumia elimu yake,ndio tumpe uspika ?huko si ndio atauza nchi kabisa

Ebu tuachane na huyu bwana,aendelee kuwakilisha ndugu zake huko na ashauri serikali lakini sio uspika
 
Ok chenge ni fisadi ulishawah kusikia ameshtakiwa?
Chenge alishawah kusema hakuna mtu wa kumshtaki kisheria hata mmoja why kwa sababu ni the best mwanasheria tuliyenae kwa nchi hii
Lile zee linaijua sheria kuliko k ya mke wake ndg
Anafaa kuwa speaker 100% kwa sababu ana misimamo halisi sio bendera fata upepo
Huyu mama makucha aliyoonesha anapaswa akutane na speaker ambaye hataruhuusu mama acontroll bunge

Akiamua kuuza nchi atashtakiwa na nani?kwakua hakuna wa kumshitaki basi tumuache apumzike tu bila nguvu kimamlaka tumuachue tu nguvu ya sheria alonayo
 
umekiri mwenyewe ananukia ufisadi halafu unasema anafaa,mkuu mbona sikuhizi Kama unayumba Sana ,nn kimekukuta kiongozi!!!
P
 
Full of ignorants!! Hivi NCHI hii upinzan sometimes wanatakiwa wawe wapongezaji au waunga juhudi? Kazi kubwa ni kuikosoa serikali pale inapokosea! Hayo mengine watapongezana wahusika wa chama na serikali!!
Wanabodi,
Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubalidisha to change for the better!.

Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi ya viongozi wetu ni ignorants, na had baadhi ya wabunge wetu pia ni ma ignorants tuu wakiongozwa na wabunge wa CCM, ambao kwa kutumia wingi wao vibaya, ignorantly kupitisha sheria mbovu ambazo mwisho wa siku zinakuja kuligharimu taifa letu.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, japo kweli ni fisadi, lakini kwenye tasnia ya sheria, he is one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuatia wengi wa wabunge wetu ni ma ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Mkuu Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, mimi Paskali ni ignorant, na najijua ni ignorant!, ndio maana na comment anything ignorantly kwenye public ya jf ili kila mtu ajue my mind.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ma ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment chochote ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ma ignorants ila hawajajijua kuwa ni ma ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell if they are ignorants or not na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa kuwa they are ignorants!, ili angalau next time watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ma ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya eneo gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paste "para materiale" (neno kwa neno) kutoka sheria za India, simpy because bado hatuna good legal drafting people mule ndani ya bunge letu!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best kwenye legal drafting, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants (vilaza), ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the highest top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ma ignorants, tunashangilia tuu ile ignorance!, yaani tunashangilia ujinga!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa being the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, lakini haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.


Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.
Kuna tofauti kati ya kuwa ignorant na kuwa stupid.
Paskali
 
Ok chenge ni fisadi ulishawah kusikia ameshtakiwa?
Chenge alishawah kusema hakuna mtu wa kumshtaki kisheria hata mmoja why kwa sababu ni the best mwanasheria tuliyenae kwa nchi hii
Lile zee linaijua sheria kuliko k ya mke wake ndg
Anafaa kuwa speaker 100% kwa sababu ana misimamo halisi sio bendera fata upepo
Huyu mama makucha aliyoonesha anapaswa akutane na speaker ambaye hataruhuusu mama acontroll bunge
Yani Tena Hafai anasema hakuna wa kumshtaki wakati tunajua no one is above the law???Sasa yeye anaijua Sheria ipi hyo adi asishtakiwe,anajihesabia haki,Ata Kama hakushitakiwa but still Hafai kabisa,maana ishu zote alizohusishwa Ni ufisadi kbs mkumbuke akiwa waziri wa miundombinu alivyohusishwa kupata mgao wake,escrow, Richmond zote mmesahau leo Hii mnamuona the best kisa anajua sheria,sheria which???kma aliijua Sheria vzur angesimama na sisi wananchi wa nyonge kuliko kutuuza mchana kweupe,akae kwa kutulia Yani ata nafsi hamsutiii kwnda kuchukua fomu Yani uchu tu wa madaraka.Akae kwa kutulia uko alipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa brain asingefanya ufisadi.Amedhalilisha chuo cha Harvard means chuo kilipika mwizi kwa kuitumia vibaya elimu yake kuwaibia watz kodi zao.
 
Back
Top Bottom