Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Attachments

  • Screenshot_2017-08-20-18-28-45.png
    Screenshot_2017-08-20-18-28-45.png
    279.4 KB · Views: 69
Alafu sio mbinafsi kabisa yani kupitia yeye ameinua familia yake muangalie esmaplatnumz na queendarlin na romyjons alivyowainua kwa kuwatengenezea hali ya kujitegemea
mm namkubali mondi ana roho nzuri sana anazijua shida na mtu yeyote anakusaidia bila kujali kabila lako rangi yako mtu gani mf mzuri pitia story ya kifesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama
~Rich Mavoko
~Harmonize
~Rayvanny
~lavalava
Na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Ukiingia katika account zao za youtube alikiba ana followers 60,000 na Platnumz anao followers 650,000 na kupitia account zao za youtube Diamond anavuta pesa ndefu kutoka youtube kutokana na video zake nyingi anazoweka kwenye account yake na followers wengi alionao

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

---------------------------------------------------------------------------------------

USHAURI WANGU KWA PLATNUMZ D

Nakuomba uachane na hili bifu ulilojiwekea na alikiba kwani sio saizi yako kabisa umemzidi kimaendeleo kwa asilimia kubwa na unafanya kazi ya kumpromote tu na sikingine

Diamond platnumz level zako ni za akina Davido yaani ilibidi uweke bifu na mtu ambaye ni saizi yako Nakusihi achana nae na wala usishindane nae kwani yeye ndio anafaidika zaidi na hili bifu na anapenda liendelee. Alikiba saizi yake ni akina Dully sykes,TID,Q CHIEF,Bobjunior ndio wa kuekeana bifu lakini sio wewe

Wewe ni boss wa label kubwa ya WCB na umetoa ajira kwa vijana wengi hivyo huwezi kulingana wala kushindana na msanii Local anayefanya kazi chini ya label asiye na brand yake anayetegemea media kumpromote, hana studio wala ofisi yani yupo yupo tu,huko ni kujiaibisha tu
The issue here is not 'my father is richer than thou' but rather who is a better musician .
 
Ushabiki humtia mtu upofu na uziwi wala hamuwezi kuona WCB wanavyofight kuhakikisha wanakuwa wao tu kwenye music,anyway basi kama Kiba wameshamzidi kwa kila kitu wala waspoteze muda kumdis kwenye ngoma na tweets

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndio kitu ambacho d anatakiwa kukifanya kwa sasa aache kumdiss mtu ambaye sio level yake
 
Diamond Ana X 6 na V8

Kibakuli ana X 5 used (27 million)

Diamond alipaswa awe na bifu na Davido siyo huyo muimba kwaya wa Kariakoo.
X6 yenyewe unayoisema anaitumia third hand aliinunua kwa mshkaji flani hv marehemu alikuwa anafanya kazi Tanzanite One na kuhusu V8 hakuwahi kumiliki alizawadiwa na Chief kiumbe baada ya siku akapokonywa baada ya mke wa chief kuleta zogo acha uwongo dogo
 
Ally kiba anapambwa na mshabiki...TU...lakini reality ni choka mbaya kwa SIMBA.....na ukiangali sn wote wanaomponda au wenye chuki na Diamond nyuma yake kuna SABABU...za kumponda......mfano mashabiki wa wema...hamissa...mange kimambi..na hata watu chama fulani....wamejiunga pamoja kum DISS Simba na kumpaka MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA KIBAKULI...siku zote elewa MAENDELEO YAKIZIDI NA CHUKI ZINAZIDI kwa Watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umejitahidi kuandika upupu kumtetea umpendae, ni kwa sababu hutumii akili , aliemuanza mwenzie nani diamond ndio anaroho mbaya pamoja na wapenzi wake ambao sio wapenzi wa mziki bali wanapenda maisha yake ya kashfa na kujionyesha. Wimbo wa alikiba ni mzuri sana ukiuchukia wewe sio mpenzi wa mziki unaongozwa na ushabiki ndio maana hutoelewa. Kweli haina ubishi diamond ana hela kuliko alikiba ila imechangia na mambo mengi, alikuwa na management nzuri na amepata umaarufu dunia ikiwa imepamba moto kwenye utandawazi,mitandao ikambeba na walio muongoza wakamsaidia kumjulisha thamani yake tofauti na alikiba aliendelea kuishi kwa mazoea sababu wakati anavuma dunia ilikuwa ya analogia ndio maana haina ubishi kuwa nyuma kuliko diamond. Diamond ametoa nyimbo nyingi mwaka huu zinabuma ndio maana chuki na wivu vikamuingia na hapo ndio kaburi lake kawaudhi watanzania wengi ndio maana wameonyesha hasira yao kwa kumpa sapoti kiba. Diamond ana follower's 4m karibia Alikiba anao follower's 2m tu. Tulichokiona diamond aliamini akitoa wimbo kumjibu kiba atamkimbiza kwa viewer's bahati mbaya imekula kwake sio kwa viboko vile utafikiri hana followers wengi. Diamond na mashabiki wake kama wewe ndio mnachuki na kiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo Ndiyo Yale yale ya kushow off , huyo kiba kauza sana wimbo wake wa aje mwaka Jana kwenye mitandao na hasa audio, kaingiza pesa nzur mkataba wake na sonny , show zake za nje ulaya na marekani, juz juzi tu kapiga pesa ndefu sana huko kenya kwenye kampeni za akina odinga hasa Mombasa ( gavana joho )

Ukija kwenye video ( account za VEVO msaan kule analipwa kwa view zake ) ishu hapa ni mmoja anapenda kujionesha na mwingine ni kimya kimya hata kiba ana jumba lake la maana lipo pale tabata sema ni vile tu haongei , kampuni ya Rockstar ni yake sasa wanauza nyimbo na ishu zote za entertainment Africa lakin hujawahi kusikia akijisifu hata siku moja

Mfano mzuri wasaani wenye pesa ndefu afu wapo simple tu

Yupo A.y huyu ana pesa ( na ndiyo mtu wa kwanza kumtengenezea connection mond na akina davido ) huyu anamilik kipind cha mikasi na ana project zingine lakin huoni akijisifu hata siku moja

Mwisho niseme wote ni vijana na ni wapambanaji ila kila mtu na makuzi yake na tabia yake ya matumiz ya pesa

Wengine kwetu ni somo kuwa upate pesa upige kelele na show off au ukae kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inafanana na issue ya Ronaldo na messi,messi hapendi sifa ila mwenzie sasa balaa,mtoapost kiba sio maskini kama unavyodhani ila kama umetumwa nisahihi kuongea ulichotumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh mshkaji, watu 19 alipe milion 100 kwa mwezi, unamaanisha kila mmoja anakula zaidu ya milion 5 kwa mwezi?
alitupa na chai kavu kidogo kusapoti uzi

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Mmoja muuza Ngada na Mwingine nadhani ni Innocent...
 
Tunajua namna alikiba anavyowanyima usingiz WCB na mashabiki wake kabisa, kama diamond n levo za kina davido kinachomfanya amsemeseme Kiba ni nini? Anamhofia na mashabiki zake pia mnamuhofia Kiba that's every day u guys trying to find new way of attacking him, kuhusu Mali au mkwanja bro umepost a lot za upande wa diamond bt kwa Kiba hujapost hata kiatu anachomiliki this is bias, ulianza vizuuur bt mwishon ndo ukajidhihirisha kwamba n mtu wa timu Fulani na hapo ndio Uzi wako ulipopoteza legitimacy
Sasa hana ambacho nakifahamu kinachofanya aonekane ni mkubwa kwa diamond. They both sing sawa.Alikiba was at the top of the game mwanzoni hilo ni wazi. Mbali na hapo amesainiwa na sony thats what i currently know. Kuna jengine kubwa unifahamishe toka kwa ali kiba!?
 
Sio mbaya kuandika vitu vya kujifariji fariji kama hivi

Ila kuna uwezekano diamond ni maskini tu coz haiwezekani yeye ndo awe mwanzisha bifu na mtu ambaye wewe unaona kamzidi...hivi jivishe viatu vya diamond halafu jiulize ungeanza vipi kumuimba mtu uliyemzidi kila kitu?au wewe ndo uliyezidiwa utajiri so unatafuta kiki kwa kuimba mipasho kwa kwa mwenzio
 
Back
Top Bottom