Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Kwasabab alikiba anatumia uchawi sana..skutegemea nyimbo mbaya kias hiki ipendwe na watu waishobokee namna hii,had nmehis muzik sasa wa bongo ni matumiz ya majin..na ndomana watu wameuchoka a minute after 3days toka siku ulivotoka,..nguv za giza na kimambi vilimsaidia..
I didnt know mtu mwenye estimated #3.5 m anafikiriwa masikini hapa Tanaanzia
Umetoa tathmin ya Diamond kwa kile unachokionaga kwenye mitandao ya kijamii, na kila ambacho hakioneshi je..?
Hukijui cha Ali kiba kwa sababu hakioneshi hadharani siku ukioneshwa je..?

na hiko unachokiona kwenye mitandao ya kijamii na kuiitra utajiri siku muhusika asipokuwepo kwenye ulimwengu wa kimwili ukiambiwa marehemu hakuwa na mali yoyote na watu wanaomzunguka utazungumza nini..?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi ifike kipindi,Kiba akubali Mond kamzidi na apambane kufika level alofika mond.Ili bongo kuwe angalau na wasanii wawili watatu wa kimataifa.

Kupambana kumshusha mmoja ili mwingine awe juu ni ulofa

ushauri wa bure
 
Kuna kitu aliongea kibakuli juz kama sio jana hapendi kua public talk kisa mali au hela au kuvaa kistar au ku act star wakati ana njaa
So he keep real but according to you

Kibakuli nae inasemekana yuko poa japo hajionyeshi

Tufanye kazi tupate hela zetu hata umdiss dai au kiba hupati hata mia zaidi ya likes tuu
Hhhhhh mali ni kama matiti kuficha ni mgumu na ndio maana hata mzee wa kujificha millard ayo ameficha yote lakini maendeleo yake kama mikataba yake ya matangazo ,studio yake mpya ya kisasa , kumiliki ayo tv ambayo inamuingizia pesa ndefu ameshindwa kuficha kwa sababu maendeleo yako hayafichiki hhhh
 
Kuna jirani yangu nilikua namwona fala tu kisa anaendesha gari hafifu. Siku aliponionyesha cheti kimoja cha hisa za Swissport nikamheshimu.Huo mzigo uliokuwepo ni kama nusu ya net assets zangu. Na alikua na vingine vitatu; CRDB, TBL na TCC nafikiri.

Dont judge a book by its cover
 
JAMANI TUWE TUNAONGEA TUKIWA TUMESHA FANYA RESEARCH NDUGU ZANGU MIMI NAISHI JIRANI NA ALI KIBA JAMANI KWANZA AFU PIA JAMAA ANA MANSION MOMBASA NA ANAISHI SAAANA HUKO NA UINGEREZA AMBAPO WATOTO WAKE WAWILI NDIO WANAISHI HUKO AMAYA NA YULE MDOGO JAMANI NIMECHEKA SAAAANA
Tungepata kapicha ka huo mjengo wa jirani yako

Sent from myself
 
Tungepata kapicha ka huo mjengo wa jirani yako

Sent from myself
Huyo uliyemjibu nahisi inabidi aende quarantine pamoja na chid benz aliedai amepiga collabo na tupac...akili zao hazitofautiani kabisa
 
Unampangia MTU mda wa kutoa ngoma aseee?

ushauri wa bure
Ushabiki humtia mtu upofu na uziwi wala hamuwezi kuona WCB wanavyofight kuhakikisha wanakuwa wao tu kwenye music,anyway basi kama Kiba wameshamzidi kwa kila kitu wala waspoteze muda kumdis kwenye ngoma na tweets

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Still diamond rocks, Alikiba yuko chini kiuwezo
Tunajua namna alikiba anavyowanyima usingiz WCB na mashabiki wake kabisa, kama diamond n levo za kina davido kinachomfanya amsemeseme Kiba ni nini? Anamhofia na mashabiki zake pia mnamuhofia Kiba that's every day u guys trying to find new way of attacking him, kuhusu Mali au mkwanja bro umepost a lot za upande wa diamond bt kwa Kiba hujapost hata kiatu anachomiliki this is bias, ulianza vizuuur bt mwishon ndo ukajidhihirisha kwamba n mtu wa timu Fulani na hapo ndio Uzi wako ulipopoteza legitimacy
 
Apart from that kwan n lazima mumlinganishe mtu wenu na Kiba? Mlinganishen na jux na wengne c wapo?, kila siku kibaaa kibaaa msanii n yy tu bongo? Na kwa hilo ndo mnajidhihirisha n namna gan mna hofu na huyu jamaa .
 
Team mafuvu
a58606cd9d69c86f84b1e301b26783b3.jpg
445a20240ee699d436885eae2b94c970.jpg
 
Apart from that kwan n lazima mumlinganishe mtu wenu na Kiba? Mlinganishen na jux na wengne c wapo?, kila siku kibaaa kibaaa msanii n yy tu bongo? Na kwa hilo ndo mnajidhihirisha n namna gan mna hofu na huyu jamaa .
Povu linakutoka mwenyewe......mnakeaha youtube ili kupambana na nani maana hamlali mmekuwa watumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom