Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

Mwache awaendekeze hao wasichana wa mjini msingi kiuno wanaompaka mafuta kwa mgongo wa chupa,
Atakuja kujikuta amebaki na ile suti yake ya zambarau.
"ZILIPENDWA"
 
Tatizo sio Kiba ila ni kizazi cha mziki aliotokea ukicheki hao wasanii waliobamba zamani wakina Kiba, Abby Skillz, Marlaw, TID, Dully, Mr Nice, Ferouz, Daz Baba walikuwa wakipata hela walikuwa hawa wekezi walikuwa bize na wanawake, show off na starehe kipindi kile bongo fleva ilikuwa inachukuliwa sehemu kama ya kuuza sura, kupata jina na kupata mademu sio biashara kama siku izi kama Kiba ashukuru kapewa nafasi ya pili naona hataorudia makosa ya kipindi kile album ya Cinderela ilimuingizia hela ndefu ila ukimuuliza alichofanyia izo hela hamna akawa tu yupo kwa mama'ake k'ko

G.O.M.D
 
Uchunguzi wako umelalia upande mmoja bila kujua watu tuna hulka tofauti,sio kila mtu anapenda kuanika yake hadharani.
Diamond ni mtu wa social networks ambapo sio kosa ndio maisha yake tupo wengi tu ambao siku moja pekee tunaweza piga picha hata hamsini ila kuna watu ambao anaweza maliza wiki hajapiga picha na sio kosa. Ninachoon hapo hilo ndio suala mali za Diamond tunazifahamu ila za Kiba hapana
Bakhresa hana show off kama kina mengi na mo dewj lkn jamii nzima inajua ana mkwanja wa maana.....utajiri haujifichi uwe mtu wa show off au la....ungejibu kwa fact apo ningekuona wa maana....hata forbes hawaangalii show off za msanii bali wanaangalia resources zake zinazomuingizia mkwanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ally kiba anapambwa na mshabiki...TU...lakini reality ni choka mbaya kwa SIMBA.....na ukiangali sn wote wanaomponda au wenye chuki na Diamond nyuma yake kuna SABABU...za kumponda......mfano mashabiki wa wema...hamissa...mange kimambi..na hata watu chama fulani....wamejiunga pamoja kum DISS Simba na kumpaka MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA KIBAKULI...siku zote elewa MAENDELEO YAKIZIDI NA CHUKI ZINAZIDI kwa Watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli umeshindwa kubalance stori yako ..umeweka wazi uwekezaji wa domo wa kiba hujaweka hata mali za kiba hujazitaja hivo moja kwa moja wewe ni timu domooo..

Kuhusu kufanikiwa hakuna uhakika wowote domo mafanikio kayapata kupitia mziki wake ..

Pia huwezi kujua njia alizopitia mpaka kuwa hapo alipo...japo kweli kuna baadhi ya mambo anamzidi kiba..
 
Haya mambo Ndiyo Yale yale ya kushow off , huyo kiba kauza sana wimbo wake wa aje mwaka Jana kwenye mitandao na hasa audio, kaingiza pesa nzur mkataba wake na sonny , show zake za nje ulaya na marekani, juz juzi tu kapiga pesa ndefu sana huko kenya kwenye kampeni za akina odinga hasa Mombasa ( gavana joho )

Ukija kwenye video ( account za VEVO msaan kule analipwa kwa view zake ) ishu hapa ni mmoja anapenda kujionesha na mwingine ni kimya kimya hata kiba ana jumba lake la maana lipo pale tabata sema ni vile tu haongei , kampuni ya Rockstar ni yake sasa wanauza nyimbo na ishu zote za entertainment Africa lakin hujawahi kusikia akijisifu hata siku moja

Mfano mzuri wasaani wenye pesa ndefu afu wapo simple tu

Yupo A.y huyu ana pesa ( na ndiyo mtu wa kwanza kumtengenezea connection mond na akina davido ) huyu anamilik kipind cha mikasi na ana project zingine lakin huoni akijisifu hata siku moja

Mwisho niseme wote ni vijana na ni wapambanaji ila kila mtu na makuzi yake na tabia yake ya matumiz ya pesa

Wengine kwetu ni somo kuwa upate pesa upige kelele na show off au ukae kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Pesa sehemu ilipo huezi kufanya biashara ya kwenye kikapu
Nyumba anaoishi Kiba pale tabata sio yake mkuu amepanga. Kwa Mara ya kwanza alikua beach Kule kuduch Na walisema ni nyumba yake wakati alikua amepanga piya

Msanii ni mwenzake Na starehe Na starehe ni nyingi kununua magari. Majumba yote hayo no starehe mkuu Na starehe nyingine no ya mademu
 
Kuna hiyo gari rose royce ni ya diamond????


Spelling za hiyo gari sina uhakika
Si kila anayepiga picha nje ya hoteli ni ya kwake ila tambua pesa haijifichi,
ila huyo kibakuli asipobadilika na kuacha kuuwasikiliza hayo malapulapu ya mjini umri utaongea na itajulikana nani aliwekeza.
 
Usimjaji MTU kwa kumuona au kwa kuonesha Mali zake...Ali kiba yupo tofauti xana na wasanii wengine bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana cha kusho off ndo maana yupo kmy......kama hapendi show off mbona kmipindi anasaini sony aliwaalik watangazaji wa clouds fm kin b12 na millard ayo....kwan bila hao tusingejua kuwa kasainiwa sony....hakuna msanii asiyependa show off, ila kama huna cha kushoo off lazima upige kmy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama Rich mavoko,Harmonize,Rayvanny,lavalava na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

*~Mtotmtamu
kaka NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK KAKA ALI KIBA NI JIRANI YANGU HAPA KAKA ANA BONGE LA NYUMBA HAPA TABATA AFU ANA MAGARI KIBAO IKIWEMO BMW X5
KAKA ALI KIBA YULE MTU MZIMA HAPENDI KUONGEA SAAANA AFU KAKA HIYO ROLLS ROYCE NI GSM YULEE SIMA WA GSM SIO DIOMOND KAKA
HAYA ACCORDING TO SOUTH AFRICAN MAGAZINE DIAMOND ANA NETWORH $ 5 MILLIONS AND ALI KIBA FOLLOWS ANA NET WORTH YA $4 MILLIONS ANA FUATA PROF J ANA NETWORTH YA $ 3.5 MILLIONS NETWORTH UMENICHEKESHA SAAANA KAKA HIVI KUNA MTU ALIEKUWA ANAJUA KWAMBA MO DEWJI ANA PESA ZILE KABLA YA FORBES KUONGEA KILA MTU ALISHANGAAA UTU UZIMA DAWA KAKA
 

Attachments

  • diamond.png
    diamond.png
    45 KB · Views: 68
  • alikiba.png
    alikiba.png
    32.6 KB · Views: 65
  • profjize.png
    profjize.png
    43.5 KB · Views: 60
Nani Kakuambia Diamond Karanga Ni Za Domo?? Huyo Domo Kapewa Kazi Ya Kupromote Soko Tu Kumbuka Hizo Karanga Zilikuwepo Toka Mwaka Juzi Na Zilikuwa Za Rangi Ya Blue
Hata kama si zake let say anapewa asilia kumi ya kila mauzo ya kila karanga unafikiri ni hela ndogo?
 
Siri ya diamod kuwa tajiri kwa akili ya kawaida tuu huwez kujua mpaka ukae chini uumize kichwa na uongezee na factor zangu utajua ni kwanin diamond anajiita simba jina ambalo marehem kanumba alikua akilitumia ukiachilia mbali jina lakn marehem kanumba alkua akitumia fimbo fulan iv ambayo diamond ameonekana pia akiitumka sipend kufunguka sana ila kwa kfupi ali kiba anamtegemea sana Mungu wakat diamond anategemea nguvu za ziada cpend kuendelea ncje kufa kabla ya cku zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi muziki Na Mungu ni marafiki mkuu
Ungeniambia muziki Na shetani no marafiki. Ningekununulia. Soda ya kopo mkuu
 
Jiulize urafiki wa Diamond na Kinje ni kwa sababu ya muziki au?! Kinje pia alikuwa rafiki wa Mangwea R.I.P...
 
JAMANI TUWE TUNAONGEA TUKIWA TUMESHA FANYA RESEARCH NDUGU ZANGU MIMI NAISHI JIRANI NA ALI KIBA JAMANI KWANZA AFU PIA JAMAA ANA MANSION MOMBASA NA ANAISHI SAAANA HUKO NA UINGEREZA AMBAPO WATOTO WAKE WAWILI NDIO WANAISHI HUKO AMAYA NA YULE MDOGO JAMANI NIMECHEKA SAAAANA
 
Back
Top Bottom