Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Ngoja tuongee private unipe namba unielekeze mkuu
Sawa, ila ukienda uende kwa taadhari maana pale anapoishi vibaka ni wengi mno na wanamlinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuongee private unipe namba unielekeze mkuu
Akhsante mkuu kwa kuliona hiloKuna mawili...
1. Nenda ukaombewe!!! Ni pepo hilo
2. Nenda hospitali kitengo cha magonjwa ya akili... Unahitaji msaada mkuu. Sio tabia ya kawaida ata kidogo
Mkuu ni kawaida huwezi kuta mwizi ameiba kwake hata kama anamiliki mali kiasi gani,aksante ushauri wako nitazingatia
Huko usipime mkuu nazunguuka kama gaucho
Wewe sio teja tu una kauchizi
Sawa mkuu mtaalam nimekuelewaUle si uchizi, kunaitwa kutafuta stimu ili mzuka upande. Kila mtu ana mapenzi yake, kuna wengine mpaka wanuse mavi ya mademu wao au wayale kwanza kwa kulamba kale katundu ili mzuka upande....akisahanfanya hivyo thubutuuuuuu.....yaani unaambiwa demu ataomba pooo hapo. Hakuna kitu kichafu kama kugegedana, yet hakuna utamu Zaidi yake.
Karibu mkuu,sema buni mbinu ambayo huwezi kugundulika kwa usahisiAksante kwa ushauri mkuu mlale
Karibu mkuu,sema buni mbinu ambayo huwezi kugundulika kwa urahisi
Mkuu unanibania nitupie namba kwenye pmKumbe ni Ronaldinho, basi una vipaji lukuki. Je, ukiwa unapiga chenga ya mwili kunako 6 X 6 huku una chupi puani au kichwani....unakuwa katika steji gani, mnyama au robot? Utakuja ua kina Mama wewe, ohooooooo. Nenda tu kwa Kajala ukamuibie chupi yake.
Sawa mkuuNdugu pepo mpenda papunchi huyo...! Kaombewee mkuu.
NimekusomaKaribu mkuu,sema buni mbinu ambayo huwezi kugundulika kwa usahisi
Mmh tofauti ipo yeye alikuwa kwenye hatari zaidWe huna tofauti na jamaa yang aliyekua anavizia wamama wakitoka kumwaga kojo kichakani yeye anaenda kutomba mkojo
Ok mkuu nimekusomaU should see a doctor or a strong spiritualist!
Salaam wana jukwaa
Jamani mwenzenu nina tatizo linalonisumbua ni zaidi ya mteja wa unga na hili tatizo limeshaniletea matatizo na aibu kama mara kibao mpaka nyumbani na mke wangu
Mimi uteja wangu ni kunusa chupi za kike yaani ,nikiingia uwani kwa mtu nafanya mbinu yeyote mpaka nitoke nayo au niinuse palepale juu ya kamba kuna siku balaa lilinikuta nikaitia mfuko wa nyuma ghalfa nikasikia mwenyewe anauliza nikajaribu kutoka mle ndani kwa kasi
Nikamsikia kuna mama alikuwa amekaa ukumbini akisema wee baba huo mfuko wa nyuma kuna chupi inaning'inia nikairudisha kwa aibu wakaapa kwa tabia niliofanya wanaenda mwambia mke wangu niliomba msamaha wakaridhia,kule nyumbani kuna sehemu nimeziweka kama sitoki kuna siku wife ameamua kufanya usafi sehemu zote ghafla anaikuta rasketi nzima imejaa chupi akaniuliza haya mwenzetu na hii biashara ya chupi umeanza lini aibu nilijibalaguza kuwa kuna jamaa yangu ndio alikuja kuzihifadhi pale ili siku ya pili aende akauze lakini sijamuona karibuni wiki
Sasa ndugu zanguni aibu ni nyingi na kila nikijaribu kuacha siwezi
Na mimi nataka kutoka kwenye hili janga