Pamoja na vivutio vya utalii, Rungwe hakuna hoteli ya maana

Pamoja na vivutio vya utalii, Rungwe hakuna hoteli ya maana

Rungwe kuna:-

1. Hifadhi ya Misitu safu za Mlima Rungwe.
2. Safu za Milima ya Kipengele 'Livingstone Mountains'
3. Crater Lake Ngosi
4. Daraja la Mungu 'Lupoto'
5. Maporomoko ya maji na ya kipekee Kapologwe (Kisondela)
6. Ziwa Kisiba
7. Maporomoko ya maji Malasusa Kapiki (Nkunga)
8. Maji Moto Ilwalilo
9. Maporomoko ya Isabula, Ngomano
10. Mti Katembo
11. Hifadhi ya Kitulo (huyu jirani yenu)
12. Majengo ya Kale, Kambi za Wajerumani
13. Fukwe nzuri za Matema
Nakadhalika

Kinachosikitisha pamoja na vivutio hivi vya utalii Rungwe haina hoteli ya maana kuweza kuhifadhi watalii wenye hadhi aghlabu kutoka nchi za ng'ambo. Hoteli zilizopo ni za elfu 20 20 za akina samolo n.k.

Hoteli pekee 'ya hadhi' ni the dilapidated L*ndmark ambayo kwa sasa huwezi muweka mtalii decent pale.

MY TAKE: Ndugu zangu na majirani zangu Wanyakyusa najua mpo wenye ukwasi wa kutosha hebu mmoja wenu ajitose hapa Tukuyu Mjini aporomoshe Hoteli ya Hadhi ndipo utalii utangazwe. Hii wilaya pamoja na Busokelo zina potential ya utalii ila hakuna malazi.
Wewe kwenu umejenga hotel gani? Usije ukawa wawapa majukumu tu wenzako, wakati wewe kwenu hufanyi lolote.
 
rungwe ujenge hotel ya kitalii kweli, unaenda kupata faida vip , utakuwa umepoteza pesa tu , no way ukazipata tena , mimi huko ni asili yetu napafahamu vyema, huko kuna hitaji kutengenezwa camp site na hostel tu za kawaida, hakuna kivutio cha maana ulichokitaja chenye kuweza kuleta return kwenye biashara , nyie endeleeni kulima small scale tu , uwekezaji unafuata fursa, sio fursa zifuate uwekezaji , hatusubiri soko likufuate, tunalifuata soko thats bussines bro,
 
rungwe ujenge hotel ya kitalii kweli, unaenda kupata faida vip , utakuwa umepoteza pesa tu , no way ukazipata tena , mimi huko ni asili yetu napafahamu vyema, huko kuna hitaji kutengenezwa camp site na hostel tu za kawaida, hakuna kivutio cha maana ulichokitaja chenye kuweza kuleta return kwenye biashara , nyie endeleeni kulima small scale tu , uwekezaji unafuata fursa, sio fursa zifuate uwekezaji , hatusubiri soko likufuate, tunalifuata soko thats bussines bro,
Tukubaliane kwamba utalii haufuati vivutio pekee. Accomodation ni sehemu muhimu sana ya utalii. Mtalii anaenda sehemu anayopata uhakika wa malazi. Rungwe pana vivutio ila hoteli ya maana hadi Mbeya mjini.
 
Tukubaliane kwamba utalii haufuati vivutio pekee. Accomodation ni sehemu muhimu sana ya utalii. Mtalii anaenda sehemu anayopata uhakika wa malazi. Rungwe pana vivutio ila hoteli ya maana hadi Mbeya mjini.
Mbeya Mjini yenyewe hamna cha maana labda Dar au Arusha
 
Rungwe kuna:-

1. Hifadhi ya Misitu safu za Mlima Rungwe.
2. Safu za Milima ya Kipengele 'Livingstone Mountains'
3. Crater Lake Ngosi
4. Daraja la Mungu 'Lupoto'
5. Maporomoko ya maji na ya kipekee Kapologwe (Kisondela)
6. Ziwa Kisiba
7. Maporomoko ya maji Malasusa Kapiki (Nkunga)
8. Maji Moto Ilwalilo
9. Maporomoko ya Isabula, Ngomano
10. Mti Katembo
11. Hifadhi ya Kitulo (huyu jirani yenu)
12. Majengo ya Kale, Kambi za Wajerumani
13. Fukwe nzuri za Matema
Nakadhalika

Kinachosikitisha pamoja na vivutio hivi vya utalii Rungwe haina hoteli ya maana kuweza kuhifadhi watalii wenye hadhi aghlabu kutoka nchi za ng'ambo. Hoteli zilizopo ni za elfu 20 20 za akina samolo n.k.

Hoteli pekee 'ya hadhi' ni the dilapidated L*ndmark ambayo kwa sasa huwezi muweka mtalii decent pale.

MY TAKE: Ndugu zangu na majirani zangu Wanyakyusa najua mpo wenye ukwasi wa kutosha hebu mmoja wenu ajitose hapa Tukuyu Mjini aporomoshe Hoteli ya Hadhi ndipo utalii utangazwe. Hii wilaya pamoja na Busokelo zina potential ya utalii ila hakuna malazi.
Kajenge yako pimbi wewe
 
Kajenge yako pimbi wewe
Uwezo wako mchache umeishia kutoa lugha ghafi badala ya kujibu hoja leta hoja. Hapa sio Facebook, hapa ni Jamii Forum where issues are discussed not crushed.
 
Rungwe kuna:-

1. Hifadhi ya Misitu safu za Mlima Rungwe.
2. Safu za Milima ya Kipengele 'Livingstone Mountains'
3. Crater Lake Ngosi
4. Daraja la Mungu 'Lupoto'
5. Maporomoko ya maji na ya kipekee Kapologwe (Kisondela)
6. Ziwa Kisiba
7. Maporomoko ya maji Malasusa Kapiki (Nkunga)
8. Maji Moto Ilwalilo
9. Maporomoko ya Isabula, Ngomano
10. Mti Katembo
11. Hifadhi ya Kitulo (huyu jirani yenu)
12. Majengo ya Kale, Kambi za Wajerumani
13. Fukwe nzuri za Matema
Nakadhalika

Kinachosikitisha pamoja na vivutio hivi vya utalii Rungwe haina hoteli ya maana kuweza kuhifadhi watalii wenye hadhi aghlabu kutoka nchi za ng'ambo. Hoteli zilizopo ni za elfu 20 20 za akina samolo n.k.

Hoteli pekee 'ya hadhi' ni the dilapidated L*ndmark ambayo kwa sasa huwezi muweka mtalii decent pale.

MY TAKE: Ndugu zangu na majirani zangu Wanyakyusa najua mpo wenye ukwasi wa kutosha hebu mmoja wenu ajitose hapa Tukuyu Mjini aporomoshe Hoteli ya Hadhi ndipo utalii utangazwe. Hii wilaya pamoja na Busokelo zina potential ya utalii ila hakuna malazi.
Umesahau kijungu Mkuu.
 
Back
Top Bottom