Pamoja na Wanachadema kufurahia anguko la Ndugai kujiuzulu Uspika, Ndugai hajapoteza kitu

Pamoja na Wanachadema kufurahia anguko la Ndugai kujiuzulu Uspika, Ndugai hajapoteza kitu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.

IMG_20220112_221456.jpg
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
maza alivokaa pichani, utadhani alikua anaimbishwa na ndugai.
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Wewe endelea kula kulala bure kwa shemeji yako diwani wa busega
 
Back
Top Bottom