Pamoja na Wanachadema kufurahia anguko la Ndugai kujiuzulu Uspika, Ndugai hajapoteza kitu

Pamoja na Wanachadema kufurahia anguko la Ndugai kujiuzulu Uspika, Ndugai hajapoteza kitu

Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Hivi wee jamaa mbona walisema kuwa unaendelea vizuri? Kwani Chadema ndiyo walimsuta Ndugai ajiuzulu?
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Mkuu uwa walipwa sh ngapi KWa post za ajabu ,kwamba CCM mnakaa badilisha upepo wa mh Mbowe kisa yupo ndani,na mkilitia hasara taifa kwamba tunaenda kuwa na spika mwingine ambae nae akijiuzulu tu basi ,anapata fulsa Kama za Ndugai, Mambo ya ajabu Taifa lapitia ,ila ipo siku mtalipa, ,
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Sasa hapa niulize nijue zaid.. hivi kwa vita ile chadema ilipigwa, teswa, potezwa, vunjwavunjwa, na marufuku ya kufanya siasa na mikutano wangesavaivu vp? Yaan hata hapo walipo ntawasifu wana chadema maan walipotoka paliku pabaya san yaan ni do or die! Mwenye akili hawez wabeza CDM maan kila mtanzania anajua waliyoyapitia!!
 
Hivi wee jamaa mbona walisema kuwa unaendelea vizuri? Kwani Chadema ndiyo walimsuta Ndugai ajiuzulu?
Mlikenua meno mkafurahi kuwa kapigwa chini, nasikia aliwabana sana Bungeni.
 
Sasa hapa niulize nijue zaid.. hivi kwa vita ile chadema ilipigwa, teswa, potezwa, vunjwavunjwa, na marufuku ya kufanya siasa na mikutano wangesavaivu vp? Yaan hata hapo walipo ntawasifu wana chadema maan walipotoka paliku pabaya san yaan ni do or die! Mwenye akili hawez wabeza CDM maan kila mtanzania anajua waliyoyapitia!!
Kwa nini mshangilie Ndugai kupigwa chini? Ina husiana nini na Chadema kupotea kwenye ramani?
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Kwanini mmemvalisha viatu visivyo vyake
 
Hivi wee jamaa mbona walisema kuwa unaendelea vizuri? Kwani Chadema ndiyo walimsuta Ndugai ajiuzulu?
Mkuu leo ni 13.1 hivyo kwake bado ni mwezi mchanga lazima atafanya mambo yake
 
Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.

Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.

Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.

Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
MTU mjinga huwaza pesa pekee sio heshima MTU aliyonayo.
Kuitwa msaliti na mwenyetamaa za vyeo na kuelezewa kamamtu mwenyenjama za kumharibia kiongozi ili wewe uupate uongozi huo nijambo la kufedhehesha sana kwa MTU mwenye maadili lkn tukiacha majingajinga yasojielewa!!
 
MTU mjinga huwaza pesa pekee sio heshima MTU aliyonayo.
Kuitwa msaliti na mwenyetamaa za vyeo na kuelezewa kamamtu mwenyenjama za kumharibia kiongozi ili wewe uupate uongozi huo nijambo la kufedhehesha sana kwa MTU mwenye maadili lkn tukiacha majingajinga yasojielewa!!
Umeenda shule?
 
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
Chadema ingefilisika kisiasa na kiuchumi usingekuwa hapa na kuipiga vijembe wewe hayawani wa buku 7 Toka Lumumba.Hakuna siku inapita bila wanambogamboga kuitaja chadema.
Kama chadema imeshajifia,kwanini msishughulike na vyama vyenye uhai kama ;Act,Cuf,nccr na vingine vingi bali mnashughulika na chadema?
Kuhangaika na chadema inaonyesha jinsi Gani inawakosesha usingizi wewe hayawani wa buku 7 toka Lumumba 😠😠😠
 
Utu Heshima ndiyo kwanza
Leo Ndugai kapoteza vyote
Unamlinganisha na Chadema!
Haifutiki Ndugai ni Nonsense
Ndiyo maana ametumika kama
Toilet paper tu
 
Back
Top Bottom