Ndio maana nimeulizaWewe unajuaje?
Nzega tuma hapo 07625668998Njoo Igunga nitakuhudumia kila kitu. Upo wapi nikutumie nauli?
NyoooooNjoo Igunga nitakuhudumia kila kitu. Upo wapi nikutumie nauli?
punguza makasiriko bi mkubwa.Nenda kafanye uchunguzi
maza alivokaa pichani, utadhani alikua anaimbishwa na ndugai.Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Uwe na adabu sakala wewe....maza alivokaa pichani, utadhani alikua anaimbishwa na ndugai.
Wewe endelea kula kulala bure kwa shemeji yako diwani wa busegaPamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Hawezi kujua ukali wa maisha maana anaishi kwa shemeji yake hivyo hajui fedha inatafutwajeWewe binafsi kiuchumi upoje
Umelipatia hilo chawaNzega tuma hapo 07625668998
Alafu hii mipunda ya kijani inazidi kuzaliwa hasa kipindi hiki cha mvuaAma kweli punda ni punda tu, fisi ataendelea kubakia fisi tu