Hivi wee jamaa mbona walisema kuwa unaendelea vizuri? Kwani Chadema ndiyo walimsuta Ndugai ajiuzulu?Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Ila kwa uzushi na kuwaaminisha watu uongo hujambo mkuu🤣Wewe endelea kula kulala bure kwa shemeji yako diwani wa busega
Njoo Igunga nitakuhudumia kila kitu. Upo wapi nikutumie nauli?
Mkuu uwa walipwa sh ngapi KWa post za ajabu ,kwamba CCM mnakaa badilisha upepo wa mh Mbowe kisa yupo ndani,na mkilitia hasara taifa kwamba tunaenda kuwa na spika mwingine ambae nae akijiuzulu tu basi ,anapata fulsa Kama za Ndugai, Mambo ya ajabu Taifa lapitia ,ila ipo siku mtalipa, ,Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
mkuu nadhani umeamua kunitusi bila sababu, sio kitu cha ajabu rais kuimbishwa(kutongozwa).Uwe na adabu sakala wewe....
Alimkana kwenye bandari ya Bagamoyo mara tu baada ya kwenda zake.
Sasa hapa niulize nijue zaid.. hivi kwa vita ile chadema ilipigwa, teswa, potezwa, vunjwavunjwa, na marufuku ya kufanya siasa na mikutano wangesavaivu vp? Yaan hata hapo walipo ntawasifu wana chadema maan walipotoka paliku pabaya san yaan ni do or die! Mwenye akili hawez wabeza CDM maan kila mtanzania anajua waliyoyapitia!!Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Kwa nini mshangilie Ndugai kupigwa chini? Ina husiana nini na Chadema kupotea kwenye ramani?Sasa hapa niulize nijue zaid.. hivi kwa vita ile chadema ilipigwa, teswa, potezwa, vunjwavunjwa, na marufuku ya kufanya siasa na mikutano wangesavaivu vp? Yaan hata hapo walipo ntawasifu wana chadema maan walipotoka paliku pabaya san yaan ni do or die! Mwenye akili hawez wabeza CDM maan kila mtanzania anajua waliyoyapitia!!
Kwanini mmemvalisha viatu visivyo vyakePamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Mkuu leo ni 13.1 hivyo kwake bado ni mwezi mchanga lazima atafanya mambo yakeHivi wee jamaa mbona walisema kuwa unaendelea vizuri? Kwani Chadema ndiyo walimsuta Ndugai ajiuzulu?
MTU mjinga huwaza pesa pekee sio heshima MTU aliyonayo.Pamoja na kukosa kiti cha uspika, bado atavuta mkwanja mrefu na atapata 80% ya mshahara aliokuwa anaupata mpaka kufa.
Chadema walifurahi kama vile anaenda kuteseka. Kumbe sio hata kidogo.
Pia ndani ya chama chao bado atakuwa na nafasi ya ujumbe wa Halmashauri kuu. Kwa hiyo hajapoteza kama Chadema walivyofurahi.
Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
View attachment 2078685
Umeenda shule?MTU mjinga huwaza pesa pekee sio heshima MTU aliyonayo.
Kuitwa msaliti na mwenyetamaa za vyeo na kuelezewa kamamtu mwenyenjama za kumharibia kiongozi ili wewe uupate uongozi huo nijambo la kufedhehesha sana kwa MTU mwenye maadili lkn tukiacha majingajinga yasojielewa!!
Unaweza kwenda shule lakini ukatoka huko zuzu-zezeta kamaweweUmeenda shule?
Chadema ingefilisika kisiasa na kiuchumi usingekuwa hapa na kuipiga vijembe wewe hayawani wa buku 7 Toka Lumumba.Hakuna siku inapita bila wanambogamboga kuitaja chadema.Lakini Chadema kisiasa na kiuchumi wana hali mbaya sana. Hili halina ubishi.
Tuliza kidonda hichoDada mbona unakurupuka?