Pancakes


Unaongelea chapati za maji?
Mie ndio huweka mayai unga,kitunguu na karot...

Ila pancake nijuavyo mimi upishi wake ndio huo...

Siku hii nlifanya za haraka nkaweka onion na mayai basi...
 

Attachments

  • 1387391321823.jpg
    78.7 KB · Views: 157
Wajua kuna confusion hapa King'asti baina ya pancake na crepes....

Pancake ndio hiyo haiweki vegetables na inawekwa baking powder


Crepes ndio sisi huita chapati za jamani asili yake ni ufaransa...wenyewe pia hawaweki vegetables ila sisi ndio tunaweka


Nadhani kibongo bongo crepes ndio watu wanaita pancake....ndio maana ukaniuliza why naweka maziwa na siagi?
 
Last edited by a moderator:
Ndo najistukia leo. Sikujua tafauti ya crepes na pancakes. Elimu bahari best.

Ila kwa afya nadhani napenda crepes na veffels. Na nna mpango wa kuanza kutengeneza hizo crepes zako kwa jiko la burger ili nisiweke mafuta kabisa saa ya kukaanga.
 
Ndo najistukia leo. Sikujua tafauti ya crepes na pancakes. Elimu bahari best.

Ila kwa afya nadhani napenda crepes na veffels. Na nna mpango wa kuanza kutengeneza hizo crepes zako kwa jiko la burger ili nisiweke mafuta kabisa saa ya kukaanga.

Poa shoga angu hamna tatizo...
 

Lakini hata crepes ni aina ya pancakes pia. Tofauti ya crepes na pancakes ni kwamba crepes ni nyembamba halafu haziko fluffy. Pancakes kama hizo za McDonald's ulizoziweka kwenye bandiko lako la kwanza huwa ni nene nene halafu ziko fluffy.

Sasa kwa mfano kwa mbongo ambaye hajawahi kuziona hizo za McDonald's na anazozijua yeye ni hizo za aina ya crepes, anaweza akabisha kabisa kuwa hizo pancakes (kama hizo za McDonald's) siyo pancakes.

Halafu Marekani hizo pancakes pia huitwa hotcakes.

Hotcakes (pancakes) za McDonald's



Crepes

 
Asanteni wandugu kwa elimu(pancakes/hotcakes & crepes!

Farkhina hivi niliwahi kuweka maziwa zikaganda kwenye pan why? Au mayai madogo?
 
Thanx mamito, napenda pancakes. Mimi huwa nafanya simple yani unga wa ngano, maziwa na mayai vilevile sukari kwa mbali sana au bila sukari. Halafu nina-top up na pancake syrup au nikaweka strawberries. Tamuuu!!
and it ill look like this
 
Mashallah toto la kizenji. Asante umenikumbusha Zenji.:cool2:
 
Asante kwa darsa. Mie ningebisha crepes ni pancakes mpaka mwisho wa siku. Lol.
 
asante mama..kiukweli hizi zinanishindaga naishia kununua tu mitaani...asante sana!
 
Asanteni wandugu kwa elimu(pancakes/hotcakes & crepes!

Farkhina hivi niliwahi kuweka maziwa zikaganda kwenye pan why? Au mayai madogo?

Pan yako ilikua nonstick? Kama sio nonstick pan una brush pan na mafuta kidogo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Asante kwa darsa. Mie ningebisha crepes ni pancakes mpaka mwisho wa siku. Lol.

Hahahahaha lol...mngekua wengi kweli

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Thanx mamito kwa darsa.

Sasa hapa tunatumia pan ya aina gani? Ya chila au ya chapati za maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…